CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

rudia kusoma,pumguza jazba,hii ni breaking na habari ya ku-update!

Mwanzoni habari haikukamilka naona sasa umeweka kitu cha maana kinaeleweka. Okay Poa naona wanyonge wameshindwa katika hili ngoja tusubiri vita ya uchaguzi kujaza nafasi hizo
 
Vp Sheria inasemaje kuhusu kuvuliwa idiwani wao??
Anyway,I smell Ushindi ws 8 bila Bukoba
 
Wanaiga CHADEMA? Ni bora sasa watuachie kata zetu hizo.Cha moto watakiona!
 
wanafukuzwa kwa kukataa kwao ufisadi na rushwa ya million 20 kwa kila mmoja?
ama kweli CCM ni chama cha mafisadi,anaepingana na ufisaidi sio mmoja wao.
nawapongeza madiwani hao kwa ujasiri wao wa kukataa unafiki na uchama
wakaweka maslahi ya nchi mbele na sio ya chama.
uchaguzi lini nashauri hawa hawa waingie chadema kura zote zitawarudia.
shame on you CCM na kizazi chenu
 
...wamefukuza madiwani wanaopinga ufisadi wamemwacha meya fisadi!!!???...kweli mafisadi wananguvu sana kwenye chama cha madawa ya kulevya...
 
Haraka ya nini tulia leta habari kamili siyo mbio uonekane wewe ndo wa kwanza kuleta habari unafukuzwa????

Amekukera nini,ameandika kiyunani kiasi kwamba hujaelewa...unataka aandike kama gazeti?,,,Au amekuudhi kukuletea habari ya kukubomoa teh...teh....teh....

Any way, mmewafukuza kwa nini, mnaiga ya ARUSHA, hamtazirudisha hizo kata, ngoma hiyo imeshatoka...mbona Kagasheki hamkumfukuza? This is a quesation that we have to retain...
 
Hapo kata 8 zinaenda CHADEMA

Inabidi kuwa makini maana kwenye mamba na kenge wapo. Kuna watakaojifanya kuingia kwenye mkumbo huo wakijua kabisa kwa stahili hiyo watapokelewa na kuminiwa na vyama vya upinzani kumbe ni mamluki wa masisiem. Siyo kila king'aacho ni dhahabu.
 
Duh.....hawa madiwan bila shaka waliungwa mkono na kagasheki....na mh rais alimuomba kagashek amalizane na meya kiutu uzima...imeshindikana...haya madiwan 8 ni turufu muhimu kwa cdm....
 
It is very very interesting kwamba kwa CCM wanaopinga ufisadi ndio hufukuzwa katika chama lakini yale mafisadi, majambazi, majangili, na mauza unga yaliyokubuhu ndio kwanza yanaachwa na hata kupewa nafasi za juu za uongozi katika chama, serikalini, na bungeni.

Hili linashangaza sana! Hivi CCM wanaweza kuwaeleza wananchi sababu ya msingi na inayoingia akili ya kuwafukuza hao madiwani zaidi ya bla bla za kisiasa za akina Nape?

ni kweli mkuu, wmefukuzwa bila kosa, na itakula kwao coz hawa wanarudi upinzan..wanaiga cdm!
 
Wanataka kusafiria nyota ya Chadema Arusha wasubiri uchaguzi waone mziki wa Chadema; hairudi kata hapo
 
Huu ujasiri walikua wanauweza CHADEMA tu, naona Gambaz wameiga nao
 
Back
Top Bottom