rudia kusoma,pumguza jazba,hii ni breaking na habari ya ku-update!
Hapo kata 8 zinaenda CHADEMA
Haraka ya nini tulia leta habari kamili siyo mbio uonekane wewe ndo wa kwanza kuleta habari unafukuzwa????
Hapo kata 8 zinaenda CHADEMA
Wanaiga CHADEMA? Ni bora sasa watuachie kata zetu hizo.Cha moto watakiona!
c.c RITZ,NAPE,FF,gaidi MN.nk
It is very very interesting kwamba kwa CCM wanaopinga ufisadi ndio hufukuzwa katika chama lakini yale mafisadi, majambazi, majangili, na mauza unga yaliyokubuhu ndio kwanza yanaachwa na hata kupewa nafasi za juu za uongozi katika chama, serikalini, na bungeni.
Hili linashangaza sana! Hivi CCM wanaweza kuwaeleza wananchi sababu ya msingi na inayoingia akili ya kuwafukuza hao madiwani zaidi ya bla bla za kisiasa za akina Nape?
Haraka ya nini tulia leta habari kamili siyo mbio uonekane wewe ndo wa kwanza kuleta habari unafukuzwa????