dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,859
- 56,847
Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Bw Avelin Mushi amemaliza Press Conf hivi punde na kufafanua kuwa kikao cha Halmasahuri Kuu ya mkoa wa Kagera imemaliza kikao chake hivi punde na kuamua madiwani 8 wa Manispaa ya Bukoba kufukuzwa katika chama na kufutiwa nyadhifa za udiwani kutoka na mgogoro uliokuwa ukiendelea.
...
Mkuu Ritz na genge lenu hapo Lumumba; tunaomba maelezo hapo kwenye red versus shutuma za Nape Nnauye. Nilidhani chama chenu hakina hao watu kumbe hadi mavyeo makubwa makubwa wanayo! Acheni upuuzi wenu, mnakolipeleka taifa letu siko.
Last edited by a moderator: