Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,485
- 6,200
ili iweje sasa kwani alivyofanya havimsaidii? ama havimuuzi kwa watu?
Haziwezi kulipwa kwa maneno tu au kwa wishful thinking. Inatakiwa vitendo.Watanganyika watekwe na na kupotezwa watu wakae kimya wakisema ukweli nani mtekaji inakuwa nongwa. Hizi damu za Watanganyika lazima zitalipwa tu .