Me Naelewaaa Mkuu... Mara nyingi kwenye kila kesi huwa tunaangalia je parties wana locus stand au wamedandia tu gari kwa mbeleWaulize maana watapewa tu.
Simply ni neno la kilatini, meaning; "a place to stand", yaani malalamiko yako mahakamani yana "base" kwenye nini.
Maandamano ya amani katika kipindi kipi ?Hatua nyingi Sanaa Mkuu.....
-Kwenda jumuiyaa za kimataifa..
-Maandamano ya Aman.. tena yangefanikiwa maan watu walikuwa na morale kubwa sanaa
-kufungua pingamizi mahakaman n.k
Kufungua pingamizi mahakamani dhidi ya nini mkuu ?Hatua nyingi Sanaa Mkuu.....
-Kwenda jumuiyaa za kimataifa..
-Maandamano ya Aman.. tena yangefanikiwa maan watu walikuwa na morale kubwa sanaa
-kufungua pingamizi mahakaman n.k
kutokuwa na iman na tume....Kufungua pingamizi mahakamani dhidi ya nini mkuu ?
Maandamano ya Aman kushinikiza tume huru kabla ya uchaguzi Mkuu.....Maandamano ya amani katika kipindi kipi ?
Kwenda kwenye jumuiya za kimataifa kufanya nini ?
Mahakamani huwa hatuendi kwa hisia tunaenda kwa facts.kutokuwa na iman na tume....
Mkuu maandamano huwezi kuyaamsha tu there must be a cause.Maandamano ya Aman kushinikiza tume huru kabla ya uchaguzi Mkuu.....
Kuomba jumuiya za kimataifa kushinikiza kuwepo kwa tume huru
Nikuulize tu viongozi wetu wameitisha maandamano umejitokeza walau hata siku moja kuandamana ?Maandamano ya Aman kushinikiza tume huru kabla ya uchaguzi Mkuu.....
Kuomba jumuiya za kimataifa kushinikiza kuwepo kwa tume huru
mkuu... ishu ni kwamba hakuna mahakama ya bongo ya kuiamin...Mahakamani huwa hatuendi kwa hisia tunaenda kwa facts.
Kukumbusha tu mahakamani tumepeleka kesi mbili moja ni kupinga wakurugenzi wa wilaya kuwa wasimamizi wa uchaguzi mahakama kuu ilikubali ombi letu ila mahakama ya rufaa ikaruhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.
Mpaka hapo mlango wa mahakama tulishapita na tukagonga mwamba.
Niliko Mkuu watu wanajua kisukuma tu unaandamana kwenda wapi...Nikuulize tu viongozi wetu wameitisha maandamano umejitokeza walau hata siku moja kuandamana ?
Nilikuwa naongea na baba. Yeye alikuwa mwenyekiti wa TANU wa wilaya. Aliniambia mambo ya kutafakarisha sana. Alisema kuwa Magufuli alikuja na CCM mpya. Alipoingia nadarakani hakuwa anatambua Chama. Alikuwa anaita Serikali ya Magufuli badala ya Serikali ya CCM. Mbele kidogo pale tukaona Wazee wa CCM wanatiwa msukosuko. Mzee Yusufu Makamba, mzee Abd. Kinana, Nape, Januari na wengine waliokuwa nguzo za Chama wakatiwa msukosuko. Baadaye tukamsikia akisema kwa wazi kuwa Viongozi waliomtangulia yeye hakuna walichofanya. Tuliona Mzee Mkapa akilipinga hilo kwa nguvu na wazi. Hata mzee Kijwete amelipinga hilo wazi. Lakini jina hili la CCM MPYA limetumika marakwa mara.Hayo matokeo ya vituoni hayakutumika kwenye majumuisho
Jimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho.
Ilikuwa kwa vyovyote vile asitangazwe mshindi either by HOOKS or by CROOKS. Hili lilikuwa apizo la Magufuli na wenzake na walilifanya kwa ushamba na ujinga wa viwango vyote vya ujinga duniani.
Kwa waliopoteza kumbukumbu, jimbo la HAI ndilo lilikuwa jimbo la kwanza kutoa matokeo ya uchaguzi takribani masaa yasiyozidi 8 baada ya vituo vya kupigia kura kufungwa ile saa 10:00 jioni ya tarehe 28/10/2020.
Kwa teknolojia ya uhesabuji kura ktk vituo vya kupigia kura, kujaza fomu mbalimbali, compilation ya matokeo ngazi ya kata na jimbo ili kumpata mshindi wa udiwani na mbunge na kwa kuzingatia jiografia ya majimbo yetu ya uchaguzi yote Tanzania mtu anaweza kuona ugumu wa kuikamilisha kazi hiyo ktk interval ya masaa takribani 9 au 10 tu katika ngazi ya jimbo.
Bahati njema mimi nilikuwa mmoja wa maafisa wa uchaguzi huu nikiwa mwajiriwa ndani ya serikali, nikipewa jukumu hili pia.
Katika eneo nililosimamia mimi, kituo cha mwisho kuleta matokeo wilayani (jimboni) ili kufanya majumuisho kumpata mshindi wa ubunge ilikuwa ni saa 2asb kesho yake yani 29/10/2020!
Kwa kawaida, baada ya kituo cha kupigia kura kufungwa saa 10:00 jioni, uwezekano wa mtu wa mwisho kupiga kura inaweza kuwa kati ya saa 1 hadi 1.30 kutegemea na kituo na idadi ya wapiga waliokuwepo kabla ya saa 10 jioni. Hii maana yake mtu wa mwisho alipiga kura saa 11:30jioni kabla ya kuanza kuhesabu..
Kuna vituo vingine zoezi la kuhesabu kura, kubishana na mawakala na kutatua migogoro inayojitokeza na kujaza fomu mbalimbali ikiwemo ya taarifa ya kituo lilikwenda hadi saa 4usiku..
Baada ya hapo kwa kawaida msimamizi wa kituo cha kupigia kura hubeba masanduku ya kura na matokeo hadi makao makuu ya kata ili kufanya majumuisho ili kumpata mshindi wa udiwani na kumtangaza..
Baada ya hapo msimamizi wa kituo cha kupigia kura wakiambatana na msimamizi msaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata hubeba masanduku ya kura, matokeo ya kura za ubunge na urais hadi jimboni/wilayani kwenda kufanya majumuisho ya kura za ubunge na Urais..
Likifanyika hili, mshindi wa ubunge hutangazwa na kisha msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hutuma NEC matokeo ya kura za urais za jimbo...
Je, haya yalifanyika pale Hai katika interval ya masaa machache vile? How exactly?..
Na pengine tujaribu kujiuliza HAI, Kilimanjaro jiogarafia ya jimbo hilo ikoje? Walitumia teknolojia gani kiasi ambacho ndani ya masaa 8 tu baada ya vituo vya kupigia kura kufungwa wakawa wamepata matokeo sahihi ya kila kituo na kuwatangaza wasindi wa udiwani na ubunge?
Mimi nasema, ni uongo. Haiwezekani abadani unless matokeo yawe yalikuwa yakitumwa kutoka vituo vya kupigia kura kwa njia ya mtandao wa computer!
Matokeo ya kawaida ya majimbo - ubunge japo na yenyewe ni wizi mtupu yalianza kutangazwa kesho yake ya tarehe 29/10/2020 kuanzia ingalau saa 6mch..
Ni wazi bila shaka kulikuwa na matokeo mengine "fake" tofauti na matokeo halisi yaliyotumika kutangaza washindi.
Maoni yangu nazani umeyaona kuhusiana na hili swala la mahakama na jumuiya za kimataifa....Mkuu maandamano huwezi kuyaamsha tu there must be a cause.
Platform ya uchaguzi huu imetupatia hiyo cause kwa uwazi kwa kila mtu.
Kuhusu jumuiya za kimataifa Uchaguzi ni internal affairs ndiyo maana mashinikizo yoyote hayawezi kutolewa zaidi ya matamko ya kibalozi tu.
Kidumu milele na kigumu kutoka madarakaniChama Cha Majambazi.
Hivi unajua kuwa waangalizi wa uchaguzi EAC wamesema ulikuwa huru na wa haki ?mkuu... ishu ni kwamba hakuna mahakama ya bongo ya kuiamin...
Hapa ni kama Rev mtikila case ya 2011 tunaenda African court tunapeleka pingamizi letu na facts mahakama ya africa itaamua...
Maamuzi yake sawaa sio binding kwa Tanzania ila yatabind karibia commission zote ambazo zitakuja kuangalia uchaguzi....
After Hizo commission za SADC,EAC na Au hawawez kusema uchaguzi ni wa huru na haki kama maamuzi ya african court hayajafatwa....
hii itakua ni hatua moja ya kuelekea demokrasia....
Tanzania italizimika ku domesticate yale maamuzi ili kulinda heshima yake kimataifa
Huko huko andamana kwa sababu watanzania wote ni sober.Niliko Mkuu watu wanajua kisukuma tu unaandamana kwenda wapi...
Hai ni jimbo dogo sana ukiangalia maeneo ambayo kuna makazi ya watu, kijiografia vituo vipo karibu karibu, kuwahi kutangazwa kwa matokeo sio ushahidi.
Muda ukifika wataelimika tuu....Huko huko andamana kwa sababu watanzania wote ni sober.
Na wewe unawajibu wa kuwaelimisha haki zao.
Wakikosaga hoja wanaanzaga vioja ndio maana wanaita wenzao misukule!Uchama pembeni, hapa nauliza wewe mtu mzima na akili zako timamu kabisa pengine ni Baba/Mama wa familia unaandika ujinga wa kiwango hiki? Ok ana Makengeza does that one makes u Happy?
Wewe hapo ulipo umejiona kasoro ulizanazo! Acheni mambo ya kukosoa uumbaji wa Mwenyezi Mungu,shindaneni kwa hoja na siyo huu ujinga ulioandika hapa. Kila la heri.