Cancer inachukua maisha yangu

Cancer inachukua maisha yangu

afadhali kama ni moja tu, kwa sababu hiyo ya pili wameshindwa thibitisha angalau inatupa moyo kuwa kuna uwezekano ikawa safi.

Kama alivyosema Kiranga, second opinion ni muhimu ili upate options zilizobaki.

Kama unarudi TZ, jaribu kuonana na Mkony pia, ni mmoja wa madaktari wazuri wa figo kwa hapa kwetu.

Ni figo moja, lakini wameshindwa kusema kama na nyingine ni salama au sio.
 
Pole sana,kujifahamu na kukubali tatizo ni hatua moja ya ushindi.Kansa ya figo inawezekana kabisa ukapona,nenda Muhimbili waone wataalamu tena waangalie iko katika steji gani,then kama figo linaweza kubadilishwa.Pia muombe Mungu,kwake yote yanawezekana.
Pole sana kaka,lakini jipe Moyo Mungu yupo kwako!
 
So sorry,kama figo ina kansa inabidi iondolewe ili kuzuia kansa kusambaa sehemu nyingine ya mwili,let it be replaced na kama kuna option ya kuitibu cancer hiyo sawa,pole sana.
 
Tafta imani ndogo tu kama punje ya kaldari na itumie kuomba na KUFUTA kabisa kansa hiyo...tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na inge...magonjwa ni ya maadui zetu, sio yetu sisi watakatifu tulioko hapa duniani


Sangarara, kataa udhaifu huo wa mwili, tabib ni yesu....
 
Dah, pole sana ndugu! Ushauri uliotolewa na waliotangua hapa hasa wa kupima tena kwa mara ya pili ni muhimu sana na kuweza kuhakikisha ukubwa wa tatizo na namna ya kulikabili! Lakini yote kwa yote cancer ni ugonjwa mbaya ila kuna baadhi ya mitishamba inaponya ugonjwa huu kama una bahati!

Mzazi wangu alionesha dalili za tatizo hilo kabla hazijathibitishwa tukaelekezwa kwa mtaalam wa mitishamba akampatia dawa, sasa anaendelea na uzee wake kama kawaida dalili zile zilitoweka na maumivu makali yaliyokuwa yanaambatana na dalili hizo yalikwisha leo ni zaidi ya miaka 8 au 9!

Pole sana.

mkuu pole sana'kuwa na iman na jitiada ktk kukabiliana na uo ugonjwa utapona amin utapona.
 
Dah, pole sana ndugu! Ushauri uliotolewa na waliotangua hapa hasa wa kupima tena kwa mara ya pili ni muhimu sana na kuweza kuhakikisha ukubwa wa tatizo na namna ya kulikabili! Lakini yote kwa yote cancer ni ugonjwa mbaya ila kuna baadhi ya mitishamba inaponya ugonjwa huu kama una bahati!

Mzazi wangu alionesha dalili za tatizo hilo kabla hazijathibitishwa tukaelekezwa kwa mtaalam wa mitishamba akampatia dawa, sasa anaendelea na uzee wake kama kawaida dalili zile zilitoweka na maumivu makali yaliyokuwa yanaambatana na dalili hizo yalikwisha leo ni zaidi ya miaka 8 au 9!

Pole sana.

this is the most good news for me.
 
Tafta imani ndogo tu kama punje ya kaldari na itumie kuomba na KUFUTA kabisa kansa hiyo...tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na inge...magonjwa ni ya maadui zetu, sio yetu sisi watakatifu tulioko hapa duniani


Sangarara, kataa udhaifu huo wa mwili, tabib ni yesu....
I have already filed my case with HIM. Thanks.
 
afadhali kama ni moja tu, kwa sababu hiyo ya pili wameshindwa thibitisha angalau inatupa moyo kuwa kuna uwezekano ikawa safi.

Kama alivyosema Kiranga, second opinion ni muhimu ili upate options zilizobaki.

Kama unarudi TZ, jaribu kuonana na Mkony pia, ni mmoja wa madaktari wazuri wa figo kwa hapa kwetu.

Naelekea hapo Jumanne.
 
Usichoke kutafuta tiba mwaya!
Jaribu hata kwa wataalamu wa miti shamba! Kuna wengi tu wamefanikiwa!!!
..Hakika baada ya dhiki faraja!
..Na kwa hakika baada ya dhiki faraja!
Kila la heri!

Thanks Kiranga, I am forced to go through critical analysis and verification of these results,I went to the best hospital in DAR the whole of last week but nothing nearing this problem came into their sight.
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.
Pole sana mkuu, hebu jaribu kuwa kuwa karibu na hawa jamaa wa tiba mbadala, ila sijapenda ulivyo-conclude kuwa cancer inachukua maisha yako. anayepanga kifo ni mungu na anayepanga maisha ni mungu, usijihukumu mkuu!
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

Dahhh.....Pole sana...Kansa inatibika kama ipo kwenye early stage...Mungu atakuponya mkuu....
 
Pole sana, kuna jamaa yangu alikua na cancer pia lakini tulitumia dawa za mitishamba kuna jamaa alitupeleka na mpaka sasa tunamshukuru mungu amepona kabisa sasa kama utataka number yake plz nijulishe lakin ikiwa bado hujaanza kimo..
yupo hapo dar na sio ghali kabisa..
 
Pole sana mkuu, hebu jaribu kuwa kuwa karibu na hawa jamaa wa tiba mbadala, ila sijapenda ulivyo-conclude kuwa cancer inachukua maisha yako. anayepanga kifo ni mungu na anayepanga maisha ni mungu, usijihukumu mkuu!

sija give up, Lakini I know, taarifa hii haitanicha kama nilivyokuwa juzi, Mungu atanisamehe kwa makosa ya namna hii nitakayofanya katika vita hii.
 
Pole sana, kuna jamaa yangu alikua na cancer pia lakini tulitumia dawa za mitishamba kuna jamaa alitupeleka na mpaka sasa tunamshukuru mungu amepona kabisa sasa kama utataka number yake plz nijulishe lakin ikiwa bado hujaanza kimo..
yupo hapo dar na sio ghali kabisa..

Kuanza kimo.. ndio nini mkuu, sijatumia dawa ya aina yoyote ile, taarifa hii nimeipata jana tu.
 
Back
Top Bottom