Cancer inachukua maisha yangu

Cancer inachukua maisha yangu

Pole sana, ungeenda india labda kama ni stage ndogo watoe hilo figo moja kabla halijaambikiza lingine
 
..my dear pole sana, ngoja nami nikuweke kwenye dua zangu ili Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika kipindi hiki kwani naamini ni cha mpito tu na watu wanapona hata kama ni kansa...pia kwa imani yako, nakuomba usichoke kumuomba Mwenyezi Mungu akuponye na ubaki na afya njema. usiogope, uwe na amani, KUMBUKA kuwa Mwenyezi Mungu HAJALALA, ni mwema sana na yupo nasi muda wote....tupo pamoja Inshaallah!!
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.
 
pole sana kijana!! hamna linaloshindikana duniani ila usikate tamaa hospitali zipo na watu wanapona sana!!
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

Pole jamani nimeumia kusoma hii post....Mi kwanza nataka ufute hiyo kauli kua Cancer inachukua maisha yangu nataka uwe na imani kwa dini yako yoyote ile uwe Mkristo au Muislam kua hakuna kisichowezekana kwa Mungu shirikisha watu wako wa karibu wakuombee pamoja na viongozi wa dini hata sisi wanaJF wenzako tutakuombea kwa imani zetu so have faith kua umepona....lakini pia usikate tamaa na kusema umeenda kwenda hospitali za mabingwa wameshindwa,kwa hospitali ulizoenda fuata masharti na tumia dose vizuri kula vizuri.Halafu usikae mpweke na kuacha hiyo hali ya ugonjwa ikukoseshe raha na kukunyima amani endelea na shuhuli zako za maisha kama ni kazi au biashara ila tu usijichoshe ukiona umechoka pumzika sitaki ukae na mawazo live your life and show that disease kwamba you can not be defeated easily.

Have faith sijui nikuite kaka au dada Sangara have faith that you have defeated Cancer live your life and be happy natamani ningefanya kitu kwa ajili yako lakini jua tu kwamba nakuombea ndugu yangu.Nataka siku moja uje utuambie unaendelea vizuri na umepata nafuu.Mungu Mkubwa.
 
Pole sana Brother Sangarara!
Tupo pamoja katika hili pia, ila ningekushauri jipange na family yako na kama utahitaji msaada wa JF wasialiana na Mods wataleta hapa namna ya wadau kuchangia, nenda India Mkuu....
Mfumo wetu wa afya una mushkheri kidogo hata hawa madaktari wetu bingwa wanashindwa ku-perfect sababu tiba ni system sio mtu mmoja.
Wenzetu India wamejitahidi sana na mifano imeonekana kwa waliotoka huko.
Nina Best Friend wangu ilikuwa bado kidogo tu tumpoteze maana mda mwingi tulipoteza kuzungushana hospital zetu za hapa bongo, mara TMJ mara Agha Khan mara Regency na kote huko ilikuwa bahati nasibu tu na hali ya ndugu yangu ilizidi kuwa mbaya kila siku, alipofika India majibu aliyapata baada ya siku 2 tu na kupatiwa Tiba na alirudi hajambo huku akiendelea na dawa.

Bado kuna nafasi ya kutetea ya kuishi tena.
Mungu akutie nguvu na matumaini na ujipe moyo, maana furaha ya kweli ni ile inayotoka ndani yako mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
God is Trustworthy; He Has a Plan for You
Ecclesiastes 3:1 For everything there is a season, and a time for every matter under heaven.
 
Arif, hapa nimeingia baada ya kukuona. Huu uzi umenisononesha sana. Kama ulivoahidi please do the needful....

swahiba nimejaribu ku-reach out kwa PM, i hope ataiona

I cant say i know how he feels, but trust me, this is the time when we need a helping hand
 
pole sana ndugu, naamini niugonjwa ulio na tiba hivo utapona tu. nikuzingatia mawazo ya wanajukwaa.
 
Hii ndio naiona dakika hii! nashindwa hata niandike nini!
Sangarara nimemjua kama moja ya Professional Accountant bora kabisa kutokana na michango yake humu JF.
Sangarara utapona! mimi nitakuweka ktk maombi yangu binafsi lakini pia nitaishirikisha familia yangu kukuombea ndugu yangu.
Amini utapona! Yesu aliyemfufua Razaro ndie mkuu wa vyote.
 
Last edited by a moderator:
Kesho ndo nitapata detailed report, but I know it is complicated already. Nitaenda hapo Muhimbili pia.
usikate tama kiasi hiki, Mungu ni mwema kwako, fuata ushauri uliotolewa na baadhi ya wadau hapa
 
Kama unaamini dawa za tiba mbadala i know the guy unaweza kuni pm then nitakutafutia namba yake nikupe umtafute ujaribu

au unaweza kwenda kwa wale jamaa wa celagerm

au
dynapharm
nenda J Mall wapo pale hata kama hautapata XYZ ila angalau utakuwa umepata ABC
ipo sehemu gani?naomba unijuze
 
Haleluyah! Chinga!

Hao "wajaidina " ndio wanyama gani??

Hebu acha bangi hapa!
Usianzishe ligi kwenye huu uzi kabisaa!
Mi namuombea ndgu yetu hapa!

Hayo mahubiri yenu peleka huko kwenye madhabahu!

Wacha kuuchafua huu uzi kwa chuki zako za kipuuzi kwa Wakristo.
 
Wacha kuuchafua huu uzi kwa chuki zako za kipuuzi kwa Wakristo.
tedo hebu acha kunisingizia kitu ambacho mi sina!
Mi namuombea ndugu yetu hapa kwa moyo safi kabisa.
Nilichokataza mimi ni nyie kutuletea mahubiri hapa!
Ohhh yesu atakuponya ukimwamini!
Ohh razaro alifufiliwa kwa hio na wewe umpokee yesu bla..bla..bla...

Hayo maneno acheni huko huko kanisani!
Haya mambo ya kumpokea yesu kila siku tumechoka kuyasikia!

Mpokeee Yesu mpokeee Yesu! Nasema TUMECHOKA!

Hapa unaweza kumuombea ndugu yetu msangara kwa maneno machache tu!

Na kumpa pole kwa wingi! Nadhani hicho kitamfaa zaidi kuliko hayo mahubiri yenu yasio na kichwa wa miguu!

Mnaboa sana!
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini na wewe umemuhusisha mungu? waliotoa comment zao kwa kurefer mistari ya bible wana amini uwepo wa mungu ktk kuponya watu kama wewe unavyo amini mungu atamponya bwana sangara,usilete chuki za kijinga tu eti kisa imetajwa bible udini ume kujaa sana wewe shwa.in.

We ni mfuasi wa mungu sio Mungu?
 
Wewe una attention seeking disorder na usipoangalia itakuletelezea kuwa suicide bomber.

Mbona wenye imani tofauti na wewe hawajalalama mtu akisema inshaallah mwenyezi mungu atakusaidia? Mtu amepost habari ya huzuni hapa na kila mtu amesema a kind word kwa upeo wake. Wewe inakuhusuje? Kuna ambao hawaamini kabisa kama kuna mungu na anaweza kumsaidia chochote, mbona hawajapiga kelele. For the sake ya mwenzetu, stop running your silly show in here. Kama una lolote la msaada na unaweza kumuombea kwa imani yako iliyo bora kuliko zote fanya hivyo.

Wewe unamuombea to whoever and whatever you believe in, unamuombea ili iweje? Na kwa nini unakuwa mkali watu wakisema yesu atamponya na lazaro alifufuliwa? Anything encouraging him right now is worth for him. Keep you flawless faith to yourself na uwaache wenye imani zao waziamini manake huenda zinawasaidia wao wenyewe.


Dont bother replying manake sitaendeleza majibishano na wewe hapa. Nenda kule kwenye jukwaa lako la show.
tedo hebu acha kunisingizia kitu ambacho mi sina!
Mi namuombea ndugu yetu hapa kwa moyo safi kabisa.
Nilichokataza mimi ni nyie kutuletea mahubiri hapa!
Ohhh yesu atakuponya ukimwamini!
Ohh razaro alifufiliwa kwa hio na wewe umpokee yesu bla..bla..bla...

Hayo maneno acheni huko huko kanisani!
Haya mambo ya kumpokea yesu kila siku tumechoka kuyasikia!

Mpokeee Yesu mpokeee Yesu! Nasema TUMECHOKA!

Hapa unaweza kumuombea ndugu yetu msangara kwa maneno machache tu!

Na kumpa pole kwa wingi! Nadhani hicho kitamfaa zaidi kuliko hayo mahubiri yenu yasio na kichwa wa miguu!

Mnaboa sana!
 
Last edited by a moderator:
tedo hebu acha kunisingizia kitu ambacho mi sina!
Mi namuombea ndugu yetu hapa kwa moyo safi kabisa.
Nilichokataza mimi ni nyie kutuletea mahubiri hapa!
Ohhh yesu atakuponya ukimwamini!
Ohh razaro alifufiliwa kwa hio na wewe umpokee yesu bla..bla..bla...

Hayo maneno acheni huko huko kanisani!
Haya mambo ya kumpokea yesu kila siku tumechoka kuyasikia!

Mpokeee Yesu mpokeee Yesu! Nasema TUMECHOKA!

Hapa unaweza kumuombea ndugu yetu msangara kwa maneno machache tu!

Na kumpa pole kwa wingi! Nadhani hicho kitamfaa zaidi kuliko hayo mahubiri yenu yasio na kichwa wa miguu!

Mnaboa sana!

We ni janga la taifa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom