Calvin Francis afariki dunia

Calvin Francis afariki dunia

Mwanamziki wa injili


Mkuu hivi hawa waimba injili wa kiume wa siku hizi ni ruksa kutoboa masikio na kuvaa hereni na kuweka kalikiti kichwani? Any way, R.I.P mwanamuziki wa injili wa kizazi kipya.
 
Matangazo mengine ya vifo si yapelekwe radio 1 jamani......!!!!!!!????
 
Duuh.. Kwanza RIP marehemu.. Halafu mbona mnatamani handsome waliotangulia mbele ya haki na kuwaacha hawa marehemu watarajiwa..? Au uzuri mpaka ukidedi..?
 
Acheni utani,hakuna kitu kinaitwa rest in peace,kama alikuwa muovu adhabu yake ni kuzimu ktk tormenting kama alikuwa anaishi maisha ya kiutakatifu then ataenda mbinguni,suala la kujudge sio letu,,,wewe marehemu hebu sikia,hatukutaki tena huku nenda ufuate nuru utakayoiona,kama ulivifuata ulivyofundishwa na mchungaji wako basi fuata hiyo nuru,
 
Acheni utani,hakuna kitu kinaitwa rest in peace,kama alikuwa muovu adhabu yake ni kuzimu ktk tormenting kama alikuwa anaishi maisha ya kiutakatifu then ataenda mbinguni,suala la kujudge sio letu,,,wewe marehemu hebu sikia,hatukutaki tena huku nenda ufuate nuru utakayoiona,kama ulivifuata ulivyofundishwa na mchungaji wako basi fuata hiyo nuru,

Nakuunga mkono hiyo salama na amani unatakiwa uiingie ukiwa hai.

Qur'an 2:208 O ye who believe! Enter into Islam (Peace) whole-heartedly; and follow not the footsteps of the evil one; for he is to you an avowed enemy.
 
Umeonaeee.... Ananikumbusha askari polisi mmoja aliyekuwa mtaa fulani wenye fujo sana Kule Magugu Manyara sasa akisikia fujo anajificha fujo ikitulia anarudi na kuanza kupiga mkwara...Ningekuwepo..... Hadi akaitwa ningekuwepo.. Ndahani muambie Preta kama ana kiu ya Mahandsome tupo wa kumwaga asisubiri tutangulie ndo anze kusikitika...Ukvumilia Mbivu si unakula zilizooza?

Wekeni picha zenu tuzione tufanye tathmini ya u handsaome wenu.
 
Kweli Facebook na utoto wao wamevamia majukwaa yote ya JF mambo ta vyuo na Sekondari huyakosi jana ilikuwa Martin kadisa mara hadindi
Leo tena Muorombo haya RIP lkn muwe mnafafanua

jf siku hizi inachezewa sana,hawa watoto wa fb wamehamishia utoto wao huku
 
i like jf! u guys mmenichekesha na thoughts zenu, lol!
 
R.I.P. But any relation to JF?the community in general and most important TO ME as the guy seems to idolize kale ka ocult cha kuogofya?
 
Mtoa mada inaelekea alichukuliwa demu wake na huyu marehemu ndo maana kaleta hizi picha aone watu wanavyomtukana kwa kuweka alama ya pyramid na jicho iwe sababu ya sisi kubwata.UMETUKOSA MI WA KWANZA NAPITILIZA FYUUUUUUUUUU.
 
Back
Top Bottom