Calvin Francis afariki dunia

Calvin Francis afariki dunia

Tunashtuana maana kuna jamaa namfahamu anaitwa hivyo bila hiyo willy sasa
nikajua kimeo kumbe hamna anyway
RIP VIN FRANSIS
 
Duu, RIP Calvin nakukumbuka sana kwa michango yako kwenye swala zima la IT. hasa topic yako ya
[h=2]FREE Huawei MODEM Unlocking codes Request[/h]
Just POST HERE your 15 DIGITS IMEI and model example


Model: Huawei E160
IMEI: 35159603*******and I will give you unlocking codes.

pumzika
 
Duu, RIP Calvin nakukumbuka sana kwa michango yako kwenye swala zima la IT. hasa topic yako ya
[h=2]FREE Huawei MODEM Unlocking codes Request[/h]
Just POST HERE your 15 DIGITS IMEI and model example


Model: Huawei E160
IMEI: 35159603*******and I will give you unlocking codes.

pumzika

u mean its calvinpower...?
 
wewe uliyejiunga juzi huwezi kumjua mtu huyu, tafuta jina la CalvinPower

So sad to hear this.He was so cooperative in the Tech,gadget and science forum RIP Calvin. Sasa watu wengine wanaleta blah blah zinasababisha maswali mengi bila sababu.Asante mkuu Maswi kwa taarifa
 
Last edited by a moderator:
So sad to hear this.He was so cooperative in the Tech,gadget and science forum RIP Calvin. Sasa watu wengine wanaleta blah blah zinasababisha maswali mengi bila sababu.Asante mkuu Maswi kwa taarifa

ndugu mimi siyo mtoa taarifa, but according to mtoa taarifa, amesema alikuwa mtu wa IT, na humu JF sizani kuwa kuna mtu wa IT mwingine anaitwa calvin, zaidi ya CalvinPower.
 
ungekuwepo wapi mpenzi....?


Umeonaeee.... Ananikumbusha askari polisi mmoja aliyekuwa mtaa fulani wenye fujo sana Kule Magugu Manyara sasa akisikia fujo anajificha fujo ikitulia anarudi na kuanza kupiga mkwara...Ningekuwepo..... Hadi akaitwa ningekuwepo.. Ndahani muambie Preta kama ana kiu ya Mahandsome tupo wa kumwaga asisubiri tutangulie ndo anze kusikitika...Ukvumilia Mbivu si unakula zilizooza?


preta=ningekuwepo

Pitia post #43. Halafu soma hiyo michango ya mwanzo. Utafahamu maana ya preta = ningekuwepo.
 
Picha ya Calvin Francis
22.jpg
 
Back
Top Bottom