Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Picha ya Calvin Francis
View attachment 71051
.. Boflo puliiz....inatosha sasa.......a a...wacha apumzike kwa amani.....
Last edited by a moderator:
Picha ya Calvin Francis
View attachment 71051
ni nani huyu handsome....?
R.I.P Calvinpower,tutakukumbuka sana kwa msaada na maujanja yako kwenye jukwaa la Tech..
Sasa nimeona umuhimu wa kutumia jina llangu halisi humu ndani.
So what? Kama ni maarufu hivyo mbona simjui ingawa sikujiunga juzi kama unavyosema?
R.I.P Calvinpower,tutakukumbuka sana kwa msaada na maujanja yako kwenye jukwaa la Tech..
Sasa nimeona umuhimu wa kutumia jina llangu halisi humu ndani.
ndugu mimi siyo mtoa taarifa, but according to mtoa taarifa, amesema alikuwa mtu wa IT, na humu JF sizani kuwa kuna mtu wa IT mwingine anaitwa calvin, zaidi ya CalvinPower.
Acheni utani,hakuna kitu kinaitwa rest in peace,kama alikuwa muovu adhabu yake ni kuzimu ktk tormenting kama alikuwa anaishi maisha ya kiutakatifu then ataenda mbinguni,suala la kujudge sio letu,,,wewe marehemu hebu sikia,hatukutaki tena huku nenda ufuate nuru utakayoiona,kama ulivifuata ulivyofundishwa na mchungaji wako basi fuata hiyo nuru,