Calvin Francis afariki dunia

Calvin Francis afariki dunia

Afadali, tena nilikuwa natafuta chumba cha kupanga muda mrefu, na karibu vyote vilikuwa vimejaa, labda sasa hivi nitapata manake najua huyu jamaa mwenye nyumba atakuwa anatafuta mpangaji mpya!
 
Ni Nani Huyo? Ni mtangazaji,m-bongo movie? Mcheza mpira? Mwanamuziki?
 
All in all RIP Calvin! na Poleni sana wafiwa wote
 
haipiti wiki mbili bila ajali pale R.I.P
 
Muulizeni martin kadinda maana niliona kwa martin kadinda nae annasikitika katika facebook yake maybe ni mutu ya fashion industry
 
Pole wafiwa na Mungu ampumzishe mahala pema peponi Amina. Ila ye ni nani na alikuwa anafanya shughuli gani mana sijawahi kumsikia kabisa?
 
Afadali, tena nilikuwa natafuta chumba cha kupanga muda mrefu, na karibu vyote vilikuwa vimejaa, labda sasa hivi nitapata manake najua huyu jamaa mwenye nyumba atakuwa anatafuta mpangaji mpya!

Bhange mbaya sana.
 
Nimesikitika kwa kweli, na toka mwezi wa 6 mwaka huu nimeshaguswa/sikia vifo vya vijana wadogo kwa ajali kama vitatu najua how much it hurts, pole kwa wafiwa, simjui ila imenigusa.
 
Back
Top Bottom