Calvin Francis afariki dunia

Calvin Francis afariki dunia

Nimesikitika kwa kweli, na toka mwezi wa 6 mwaka huu nimeshaguswa/sikia vifo vya vijana wadogo kwa ajali kama vitatu najua how much it hurts, pole kwa wafiwa, simjui ila imenigusa.

Inasikitisha sana vijana wadogo wanapopoteza maisha ghafla kama hivi. sijui tatizo ni nini
 
Mbona hututafuti mahandsome tulio hai unaulizia waliotangulia mbele ya haki? teh teh teh

Umeonaeee.... Ananikumbusha askari polisi mmoja aliyekuwa mtaa fulani wenye fujo sana Kule Magugu Manyara sasa akisikia fujo anajificha fujo ikitulia anarudi na kuanza kupiga mkwara...Ningekuwepo..... Hadi akaitwa ningekuwepo.. Ndahani muambie Preta kama ana kiu ya Mahandsome tupo wa kumwaga asisubiri tutangulie ndo anze kusikitika...Ukvumilia Mbivu si unakula zilizooza?
 
Last edited by a moderator:
Muulizeni martin kadinda
maana niliona kwa martin kadinda nae annasikitika katika facebook yake
maybe ni mutu ya fashion industry

Kwani mleta mada kapotelea wapi mpaka tukaitafute fb?
 
Umeonaeee.... Ananikumbusha askari polisi mmoja aliyekuwa mtaa fulani wenye fujo sana Kule Magugu Manyara sasa akisikia fujo anajificha fujo ikitulia anarudi na kuanza kupiga mkwara...Ningekuwepo..... Hadi akaitwa ningekuwepo.. Ndahani muambie Preta kama ana kiu ya Mahandsome tupo wa kumwaga asisubiri tutangulie ndo anze kusikitika...Ukvumilia Mbivu si unakula zilizooza?

ha ha ha,..nilikua staki ku commnt lakini nimeshindwa kuvumilia..
 
Unaweza kukuta kijana hakuwa riziki.

Naona Mkuu Ngongo umeamua kutoboa kabisa...sikutaka kufika huko lakini nionapo hereni kwenye sikio la mtoto wa kiume ndiko nakofika moja kwa moja....
 
Last edited by a moderator:
Huyu atakuwa na ushoga wa karibu na mleta mada.
 
Back
Top Bottom