Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,866
Taarifa ya Habari TBC: walimu wanaomba mishahara iongezeke, pia wanaomba posho.
Lusinde: Bajeti ya chadema UONGO MTUPU, mbona haizingatii ilani ya uchaguzi ya chama chao, mbona hatuoni elimu bure kwenye bajeti yao, UONGO MTUPU
Lukuvi: Haiwezekani msemaji mkuu wa upinzani ndio aongoze kwa matusi,
Kma wapinzani wakngekuwa kama huyu chiku na mrema, basi tanzania ingepata maendeleo. Maana anaongea poit tupu.
Chiku abwao: Nini logic ya ubinafsishaji? yaani unabinafsiha madini utegemee wageni wakupe utajiri, Kweli?
Chiku abwao: Tuzuie ubinafsishaji mpya jamani, Tumegundua gesi tz, lakini je tuna sera ya gesi?
Ebu tupe elimu ya Mnyika na tupe ya Lusinde you idiot
Taarifa ya Habari TBC: walimu wanaomba mishahara iongezeke, pia wanaomba posho.
Mkuu umesahau sera za CCM? Mojawapo ni hii ya kutokomeza njaa kwa wananchi.tatizo lenu nyie CCM mpo kama horn..........mnapiga kelele mkibonyezwa....
Soma hapa..........kama hujui kusoma muombe jirani yako akusaidie!!!....usilete upopo wako hapa.
MAPATO A Mapato ya ndani 11,889,078 i)mapato ya kodi (TRA) ii)Mapato yasiyo ya kodi B Mapato ya Halmashauri C Mikopo na Misaada ya kibajeti (GBS) 842,487 D Misaada na mikopo ya miradi ya maendeleo nay a kisekta 2,314,231 i)Misaada 1,465,461 ii)Misaada na mikopo kisekta 415,137 iii)MCC(MCA-T) 433,634 Jumla ya Misaada na mikopo ya kibajeti 3,156,718 JUMLA YA MAPATO YOTE. 15,045,796 MATUMIZI E Matumizi ya Kawaida 9,000,000 H Matumizi ya Maendeleo (i)Fedha za ndani 4,161,177 (ii)Fedha za Nje 1,884,619 Jumla ya matumizi ya maendeleo 6,045,796 JUMLA YA MATUMIZI YOTE. 15,045,796
[TD="colspan: 2"] SHILINGI MILIONI [/TD]
za hao sina, kama una shida nazo nitakutafutia. Mimi nimeomba ya Lusinde kama unayo ishushe humu au nitumie through PM....
Nadhani wewe hujawachukia bado. Mimi bado nakumbuka tukio la Nduli Idd Amini ya kuwafukuza maponjoro wote UG. Nadhani alikuwa na hasira nao kuliko mm na ww.
Hawa watu wamekaa kimtego tu hapa TZ. wana nyanyasa watu na wezi kweli kweli!
Forex yote wanayoipata inakwenda nje kupitia hizo Bureau de change zao.
kwenye viwanda vyao ndo usiseme, transfer pricing inatumika kikamilifu kutorosha forex nje. TRA hawana control nao and sometimes wanavuta mshiko kutoka kwao (uzalendo hakuna)
Leo hii unatoa tax exemption kwa hawa watu!!!!!:flame:
Taarifa ya Habari TBC: walimu wanaomba mishahara iongezeke, pia wanaomba posho.
Unaimanisha nini hapa mkuu..Kwani kuna tofauti yoyote ya alichoongea Lusinde na Lusinde?? Wapinzani wanaonewa bwana....
​Katika mchango wake katika bajeti ya Serikali, Mhe Mbatia amegusia suala moja ambalo kwakweli lina utata sana.
Taasisi ya Aghakan nchini ina mkataba na serikali wa kutolipa kodi zote (zero tax) nchini kwa sababu kwamba wanatoa huduma za elimu na afya kwa watanzania masikini kwa ghafama nafuu
Lakini cha ajabu ni kwamba hospitali na shule za aghakhan ni most expensive kuliko shule na hospitali nyinginezo. Je kuna maaana gani watu hawa kuendelea kupewa exemption. Naambiwa hata toilet paper inayonunuliwa na aghakhan hailipiwi kodi...achilia mbali magarim vifaaa n.k
Tena wanachofanya, wanawatoza watanzania waswahili na makampuni ya nchini very high premium pale hospitali alafu wana wa subsidize wahindi wa jumuiya ya ISMAILIA ndio wanatibiwa bure pale. Kufanya operation ya appendix pale ni shilingi milioni 2, wakati same operation Tumaini Hospitali ni shilingi 400,000 na St Benard hospital ni shilingi 600,000.
Iweje Agakhan wasilipe kodi ihali Hindumandal ambayo nayo ni ya kidini wanalipa kodi?. Tunaambiwa Regency Hospital ni moja ya walipakodi wakubwa katika TRA kanda ya Ilala.....wanalipa kodi karibia shilingi bilioni 2 kwa mwaka.....sasa aghakhan ambayo ni ghali kuliko regency na ina operations maradufu ya regency si ilipe kodi tu. hii ndio mianya ya upotevu wa fedha za serikali...
Hongera Mhe Mbatia kwa kuliongelea suala hili bungeni
hahahahaaa,,,,,serikali haina pesaaaaaaaa
Ha ha ha haaaah!! Unajua hasira mkuu sikuiona hiyo, nilimaanisha "Lusinde na Mnyika"...Unaimanisha nini hapa mkuu..