Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,866
Naibu spika, anajenga nidhamu katika bunge, hongera sana
Hawa ndio wa kuwapa hongera kwa kunufaika kwa kuichagua CCM
![]()
Naibu spika: Wenje KAA CHINI, "Nyambafu"
I agree with Mnyika ni dhaifu sio kidogo ni dhaifu sana.
- Ni tapeli na wa ahadi (meli maziwa makuu hata moja hakuna, maisha bora kwa kila mtanzania yamekuwa maisha duni kwa wananchi wote wa hali ya chini.
-Source ya tanzania kujigawa kiimani (Aliitumia sana kauli mbiu ya udini wakati wa kampeni sasa moto umeshika kasi amekaa kimya huu ni udhaifu mkubwa ameitia nchi kiberiti anangoja iteteketee)
-Hawezi chukuwa maamuzi kwa wakati muafaka na pia kwa mafisadi (Chenge, karamagi, yona, mramba, kiwira coal mine, EPA, Richmond, wanyama waloibwa ........nk.......nk orodha ni ndefu mnaweza kuendeleza
-Hana vision, ya jana yeye anayafanya ya leo (zidum fikra za mwekiti wa sisiem, inchi imebadilika yeye ameshindwa kukop)
-Walimu wanadai nyongeza mishahara anatishia kuwapiga, wakoloni wanaiba madini yetu kwake halali
-Watanzani wanazozana juu ya udini balaza la mitihani yeye amekaa kimya kama sio udhaifu ni nini????
-Madakitari wanagoma anachukuwa mwezi kutafuta partial solution watu washakufa sana sio udhaifu huo???
-Arusha wanatafuta haki kwa maandamano, wanauwawa anasema ni matatizo ya lema anasahau walioandamana songea, tandahimba nk huu ni udhaifu pia
KAMA NDUGAI HAJUI MKUU WAKE NI DHAIFU BASI YEYE PIA NI DHAIFU. HATUWEZI KUTOKA GIZANI KAMA TUNAMSIFIA RAIS KWA UDHAIFU NA MADHAMBI MENGINE, ATAJISAHIHISHA TU AKIAMBIWA UKWELI NA AKAELEWA LAKINI HUYU BWANA HANA SIFA HIYO.
Kama kawaida CHADEMA mbele CCM nyuma....Kenge huwa anairingia miamba kwamba ana rangi nzuri kuliko miamba,.....aringie maji ataweza?!!
Silly season..........!!!! tunawangoja hawa vilaza huku mitaani...come 2015!!!
Nashauri serikali iweke kiwango cha elimu, cha mtu kugombea ubunge, Mnyika anaaibisha bunge
Kama kawaida CHADEMA mbele CCM nyuma....
![]()
tuone kama watalifanyia kazi,hivi serikali hii huijui???
Hata mimi nashangaa hilo tumesikia Mwigilu kaongea jana. Lusinde naye anarudia? Hii yote inadhihirisha wapo kimaslahi zaidi ndo maana wanaongelea material thingsHvi hoja ni Mbowe na gari au Budget?
Si ndio sababu wanapigwa risasi kila siku??? matunda ya ccm mauajiNadhani baadhi ya wabunge huwa wanaongea kama vile wamekurupushwa na hawakujua kuwa wako kwenye orodha ya kuchangia. Mtu anaongea mtiririko huuoni. Mara vijembe mara kejeli. Tarime Kazi mnayo 2015.
Na pesa zao ndizo zinaendesha serikali...Hawa ndio wa kuwapa hongera kwa kunufaika kwa kuichagua CCM
![]()