Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 84
Wapinzani ndo bajeti? Au ndo alitumwa akapambane nao na wananchi wake.?
Lusinde kawachana wapinzani mbaya, hongera muheshimiwa
Lusinde kawachana wapinzani mbaya, hongera muheshimiwa
Neno gani sahihi kutumia badala ya dhaifu maana majuzi aliitwa legelege...
Hivi alipohutubia bunge ile 2008 bw sitta alimwambaije mwishoni?........''inabidi uwe makali kidogo bwana rais''....je huo sio udhaifu wake?...yeye akasema ''ukitaka kula shuirti uliwe''
Sasa nini kilichokufurahisha, watanzania bana.
Kumbe neno "chizi" linaweza kukuzuia kuchangia kabisa hoja ya Bunge.