Bungeni Live: June 19, 2012

Bungeni Live: June 19, 2012

Hivi alipohutubia bunge ile 2008 bw sitta alimwambaije mwishoni?........''inabidi uwe makali kidogo bwana rais''....je huo sio udhaifu wake?...yeye akasema ''ukitaka kula shuirti uliwe''

tena si kula,,,,,uliwe,,,,ukitaka kula lazima ULIWE KIDOGO,,,,,,WEWE UNATAKA KULA BILA KULIWA????
DAH
 
HII NAYO NI THREAD AU slead?
Kama huna jambo la kusema ni heri kufunga domo lako.? Au jaribu kupitia nyuzi za wengine.
 
Yaani kama Mh. Kikwete Raisi na Mwenyekiti wa CCM ni Dhaifu, Je ni Kweli Wana CCM wote watakuwa ni dhaifu?

Yaani kama Makamba, Mh. speaker, Malechela, Lusinde, Sitta, Ridhawani, Mwenyekiti wa UVCCM, Mwenyekiti wa UWT, Mwenyekiti wa Wazazi?, Yaani hawa wote pia watakuwa ni Dhaifu?

Kwa sababu CCM mkubwa kabisa si ni Mh. Kikwete?

Dah hii itakuwa hatari kama ni Kweli.
 
ndiyo,wote ni dhaifu maana hawawezi kufanya uamzi wana kirusi cha woga.
 
CCm hawana sera, wakisimama wanarudia mambo yale yale yaliyopita ya kujibizana badala ya kuchangia. mfano huyu mama anayeongea sasa hivi. huo ni udhaifu mkubwa.
 
Awashukia kwa kushinmdwa kukusanya kodi, kutokuwa na takwimu sahihi za ajira kila mwaka, idadi ya wakulima na wazalishaji.
Ccm waishia kuzomea.
Awapa live kuwa 2015 vijana watakuwa wengi bungeni na watachukua nchi
 
  • Thanks
Reactions: GM7
Sijaona spika katika Bunge letu mwenye hekima na busara wa maamuzi ya usawa kama Sitta.

Bunge ni la changamoto na vijana waliosoma na wanajua nn wananchi wanataka.

Bunge la ubabe kitukana watukanwe wapinzani na mipasho lakini ikigeukia kwa serikali ni kosa kubwa.

Wananchi tumeona naomba tuamue 2015
 
Back
Top Bottom