Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
hawa wabunge wa ccm wengi wao hawajui wasemalo. Wanawakashifu wapinzani kwa kukosoa serikali ya ccm kisha na wao wanarudi kukosoa mapungufu yaliyopo kwenye bajeti ya serikali ya ccm. Hawa nawafananisha na nyoka anayemeza mkia wake mwenyewe!