WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Mbunge wa CCM mkoa wa Mtwara jimbo la masasi,Mh.Mariam Reuben Kasembe ameikebehi CDM kwa kudai kuwa Rais anaweza kutoka chama chochote lakini Rais bora atatoka CCM.Maneno haya ameyanukuu kutoka kwa hayati Mwl.Jk Nyerere katika hotuba yake ya mwaka 1995.Mh.Mariam amedai CDM watafute chama kingine kama wanataka kuwa marais hapo baadae!Kwa hali ilivyo CCM wanakwepa hoja za ukweli pale bungeni na badala yake wanatumia muda wa kuzungumzia mambo ya maana vibaya kwa kurusha maneno ya ukakasi kwa CDM.Hivi CCM inatarajia kuendelea kutawala milele?