Bungeni Live: June 19, 2012

Bungeni Live: June 19, 2012

Ni serikali ya ahadi hewa na propaganda chafu za ukabila, ukanda, udini, na sasa wanabaguana wao kwa wao kwa jinsia. (Apewe Anna makinda sio Samweli sita kwasababu makinda ni mwanamke-Sasa anakuja Asha Ros migiro sijui itakuwaje? badala ya kuangalia uwezo wa mtu unaangali jenda yake kwani anafunga ndoa na madaraka?

Serikali inayopandisha kodi kwa walalahoi kila bajeti kushindwa kupandisha mishahara na kushindwa kudhibiti mfumko wa bei kama siyo kuishiwa maarifa nasiyo upuuzi ni nini??
 
Mbunge wa mtera Livingstone Lusinde, amechafua hali ya hewa kwa kusema hakuna upinza ambao unaweza kuiwajibisha serikali, sababu hawa jipya. Pia ametaka wapinzani washinikize Mbowe ajiuzulu kwa kukubali kutumia gari la serikali wakati mwanzoni alilikataa.

Huyu jamaa huwa hana link na mabo anayoyaongea na uhalisia wa sasa.
Kuna haja ya huyu mtu kuelimishwa maana ya chama cha upinzani ni nini na majukumu yake ni yepi!
 
Kwani kuna tofauti yoyote ya alichoongea Lusinde na Lusinde?? Wapinzani wanaonewa bwana....
mkuu unamaanisha Mwigulu na Lusinde? hata mimi hao watu wananichanganya sana, loh! huyu first degree economics na huyu first degree kibajaji ila wote naona ni fisrt degree pumba + matusi.
 
Kafulila: uwezo wa viongozi wa kufikiri uwe zaidi ya kufikiria familia zao tu!
 
Waombe CDM ambao amekuwa mjumbe wa halmashauri kuu yao kwa mudamrefu.
Tume ya katiba bwana, mimi nimeomba cv ya Lusinde. Kwani ni mjumbe wa CDM?? Naona huna msaada ngoja nisubiri kwa member wengine wenye kuifahamu cv yake watanipatia.
 
Last edited by a moderator:
Hizi zama njema, sio muda wa kuburuzana tena, naamini kitaeleweka tu.
 
​Katika mchango wake katika bajeti ya Serikali, Mhe Mbatia amegusia suala moja ambalo kwakweli lina utata sana.
Taasisi ya Aghakan nchini ina mkataba na serikali wa kutolipa kodi zote (zero tax) nchini kwa sababu kwamba wanatoa huduma za elimu na afya kwa watanzania masikini kwa ghafama nafuu...

Ndio hivyo muone wenyewe uliozoea kutibiwa Aghakhan..
 
Kumbe neno "chizi" linaweza kukuzuia kuchangia kabisa hoja ya Bunge.
 
Ndungai ni dictator. simpendi kabisa

Ndugai siyo dictator, bali kanuni za bunge ndo zinazodictate wabunge! yeye katumia kanuni vizuri. La msingi ni kwamba pamoja na kutumia kanuni, bado ujumbe ulishafika kwa watanzania kwamba rais jk ni mdhaifu kwenye maamuzi. ameshindwa kuongoza Tanzania!
 
Mkuu umesahau sera za CCM? Mojawapo ni hii ya kutokomeza njaa kwa wananchi.

attachment.php

Hivi Nape yuko wapi? kwani bado anagawa biriani huko Iringa?
Anatakiwa pale Tabata akafute nyayo za CDM. Walishapita kule.
Niliwaomba akina Lema angalau wampatie ratiba ya CDM ili wamsaidie kupanga ratiba zake as well. otherwise itakuwa mambo ya surprise tu!
Ila hiyo biriani imetulia hapo? Nyama tu ndo kuna mapungufu. Sijui ndo mambo ya kuchakachua ya CCM, hadi nyama!
Tabia hii inaweza kuwa ipo hadi home kwa Nepi. Chakachua nichakuwe nakatupa bwaaa!! Nyama hakuna!!
 
Ndugai siyo dictator, bali kanuni za bunge ndo zinazodictate wabunge! yeye katumia kanuni vizuri. La msingi ni kwamba pamoja na kutumia kanuni, bado ujumbe ulishafika kwa watanzania kwamba rais jk ni mdhaifu kwenye maamuzi. ameshindwa kuongoza Tanzania!
Neno gani sahihi kutumia badala ya dhaifu maana majuzi aliitwa legelege...
 
Neno gani sahihi kutumia badala ya dhaifu maana majuzi aliitwa legelege...

Mkuu tukisema ni mpumbavu ban itatembea kuanzia bungeni mpaka humu. wacha tuseme jk ni mdhaifu na ccm ni wapuuzi!

otherways, hii signature yako imewakilisha!

Be peaceful, be courteous, obey the law, respect everyone; but if someone puts his hand on you, send him to the cemetery.
 
Hivi alipohutubia bunge ile 2008 bw sitta alimwambaije mwishoni?........''inabidi uwe makali kidogo bwana rais''....je huo sio udhaifu wake?...yeye akasema ''ukitaka kula shuirti uliwe''
 
Back
Top Bottom