Murtaza Mangungu:
- Mkoa wa lindi umepangiwa 14bil, tunafanana na mkoa wa rukwa, na katavi ambayo ina wilaya mbili tu.
- Wassira alisema mkoa unaoongoza na mtawanyiko mkubwa wa watu ni mkoa wa lindi.
- Huu mfumo wa bajeti una matatizo
- Siku zote tunalalamika tujengewe barabara, ili mazao ya wakulima yafike kwenye soko
- dhana ya kilimo kwanza rais alilianza kwa nia njema, lakini sasa inaonekana ni kilio kwanza
- kwani nmb au mabenki yetu wasipewe uwezo wa kuwakopesha wakulima .......... mawasiliano yame distort
mama abwao ndo alivo yeye kwanza anamchana spika au naibu then anasonga,,,,,,,UKITAKA UTOE STRESS SIKILIZA BUNGE LAKO,LINALODHAMINIWA NA PCCB NA CAG
Naibu Spika apigwa kipapai na Bibi Chiku Agwao da wa Mama wengine Bwana unagusa sehemu za ukweli kabisa yaani Ndugai kajiona mdogo
Kma wapinzani wakngekuwa kama huyu chiku na mrema, basi tanzania ingepata maendeleo. Maana anaongea poit tupu.
Eti watu wakiokoka wata iombea nchi ipate pesa. Huu ni utoto
Kma wapinzani wakngekuwa kama huyu chiku na mrema, basi tanzania ingepata maendeleo. Maana anaongea poit tupu.
Mara oooh........upinzani yupo Zitto tu....mara oooh Chiku Abwao yupo fit sana, wapinzani wote wangekuwa kama yeye...Kma wapinzani wakngekuwa kama huyu chiku na mrema, basi tanzania ingepata maendeleo. Maana anaongea poit tupu.