EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Eti bajeti kivuli si kivuli ni giza.
Chku abwao: Mbona deni la taifa linakuwa na maisha yanaendeleo kuwa mabaya? pesa hizi na misaada inapelekwa wapi?
Mara oooh........upinzani yupo Zitto tu....mara oooh Chiku Abwao yupo fit sana, wapinzani wote wangekuwa kama yeye...
Unakuwa kama kenge.......kuringia miamba!
tatizo ni ufupi wa ndugai
hawa wabunge wa ccm wengi wao hawajui wasemalo. Wanawakashifu wapinzani kwa kukosoa serikali ya ccm kisha na wao wanarudi kukosoa mapungufu yaliyopo kwenye bajeti ya serikali ya ccm. Hawa nawafananisha na nyoka anayemeza mkia wake mwenyewe!
tatizo lenu nyie CCM mpo kama horn..........mnapiga kelele mkibonyezwa....Kangi Lugola bajeti ya Zitto ni Bajeti Giza haina mapato ya ndani du Zitto kachemka vibaya
| | MAPATO | ||
| A | Mapato ya ndani | | 11,889,078 |
| | i)mapato ya kodi (TRA) | | |
| | ii)Mapato yasiyo ya kodi | | |
| B | Mapato ya Halmashauri | | |
| C | Mikopo na Misaada ya kibajeti (GBS) | 842,487 | |
| D | Misaada na mikopo ya miradi ya maendeleo nay a kisekta | 2,314,231 | |
| | i)Misaada | 1,465,461 | |
| | ii)Misaada na mikopo kisekta | 415,137 | |
| | iii)MCC(MCA-T) | 433,634 | |
| | Jumla ya Misaada na mikopo ya kibajeti | | 3,156,718 |
| | | | |
| | JUMLA YA MAPATO YOTE. | | 15,045,796 |
| | MATUMIZI | | |
| E | Matumizi ya Kawaida | | 9,000,000 |
| H | Matumizi ya Maendeleo | | |
| | (i)Fedha za ndani | 4,161,177 | |
| | (ii)Fedha za Nje | 1,884,619 | |
| | Jumla ya matumizi ya maendeleo | | 6,045,796 |
| | JUMLA YA MATUMIZI YOTE. | | 15,045,796 |
yaan mbatia amenifumbua MACHO,,,,,jamani WAHINDI NISIVOWAPENDA KWA XPLOITATION,,,,NASHUKURU SIJAWAH KUTIBIWA KWAO,,,,MATATIZO YANGU YANAISHIA TANDALE,AL-HAMDULILLAH
Kenge huwa anairingia miamba kwamba ana rangi nzuri kuliko miamba,.....aringie maji ataweza?!!hahahha,,,,kenge anaringia miamba au maji,,,ah,,,raha bungeni raha jf,,,,KAZI NI KWAKO
Naona limekaa ki series zaidi natamani leo hata wasipumzike waendelee kupimana ubavu
Lusinde katoa point mbili muhimu:
1) Unafiki wa mbowe kuchukua posho, na kutumia gari la upinzani wakati alilikataa
2) Bajeti ya upinzani haiakisi ilani ya chama chao, mbona hawaoni elimu bure kwenye bajeti ya chadema?
Kenge huwa anairingia miamba kwamba ana rangi nzuri kuliko miamba,.....aringie maji ataweza?!!
Silly season..........!!!! tunawangoja hawa vilaza huku mitaani...come 2015!!!
Hawa ndio wa kuwapa hongera kwa kunufaika kwa kuichagua CCMPoleni wana ubungo, mmechagua msela kwenda kuwawakilisha
Hivi inajadiliwa bajeti ipi kati ya ile ya upinzani au ya Serikali?