Bungeni Live: June 19, 2012

Bungeni Live: June 19, 2012

Mbunge wangu wa CCM( Seleman) changia hoja acha kujibu hoja za serikali wewe sio waziri bwana utawapa magwandwa cha kuongea
 
Mbunge wangu wa CCM( Seleman) changia hoja acha kujibu hoja za serikali wewe sio waziri bwana utawapa magwandwa cha kuongea

Hujamuelewa suleiman, anatahadharisha watu wasome bajeti kabla hawajachangia.
 
Lusinde aliongea kwa Kizaramo na kwa msamiati zaidi but Mnyika kapayuka na kuropoka na leo hii atanyea ndooo
uphhhhhhhhhhhhhh..........nadhan ni lusinde na mnyika,,,okay mjadala uendelee
 
​Katika mchango wake katika bajeti ya Serikali, Mhe Mbatia amegusia suala moja ambalo kwakweli lina utata sana.
Taasisi ya Aghakan nchini ina mkataba na serikali wa kutolipa kodi zote (zero tax) nchini kwa sababu kwamba wanatoa huduma za elimu na afya kwa watanzania masikini kwa ghafama nafuu

Lakini cha ajabu ni kwamba hospitali na shule za aghakhan ni most expensive kuliko shule na hospitali nyinginezo. Je kuna maaana gani watu hawa kuendelea kupewa exemption. Naambiwa hata toilet paper inayonunuliwa na aghakhan hailipiwi kodi...achilia mbali magarim vifaaa n.k

Tena wanachofanya, wanawatoza watanzania waswahili na makampuni ya nchini very high premium pale hospitali alafu wana wa subsidize wahindi wa jumuiya ya ISMAILIA ndio wanatibiwa bure pale. Kufanya operation ya appendix pale ni shilingi milioni 2, wakati same operation Tumaini Hospitali ni shilingi 400,000 na St Benard hospital ni shilingi 600,000.

Iweje Agakhan wasilipe kodi ihali Hindumandal ambayo nayo ni ya kidini wanalipa kodi?. Tunaambiwa Regency Hospital ni moja ya walipakodi wakubwa katika TRA kanda ya Ilala.....wanalipa kodi karibia shilingi bilioni 2 kwa mwaka.....sasa aghakhan ambayo ni ghali kuliko regency na ina operations maradufu ya regency si ilipe kodi tu. hii ndio mianya ya upotevu wa fedha za serikali...

Hongera Mhe Mbatia kwa kuliongelea suala hili bungeni
Kweli ni kichefu chefu, Hii Tanzania inaelekea wapi???????
Hawa Viongozi wetu waliopewa dhamana ya kuongoza nchi hii wanafanya nini. The most expensive hopsital ni Aga khan. Halafu tena ndo ina tax exemption. Kwa faida ya nani. Hao maponjoro wenye kukwapua rasilimali zetu na kuhamishia Canada na UK ndo wanatibiwa bure!!!!!!!!!
Itafika siku tutatoana roho kwa mwendo huu!!
 
Suleiman: kodi zote za boda boda zifutwe, na viwanda vya korosho. Naomba waziri gharama za simu ziende kwa wamiliki wa makampuni sio watumiaji.
 
Chiku Agwao twende kazi sasa acha kutoa pongezi ambazo hazina sababu kabsaa plate number haziwezi kuikomboa nchi
 
Kweli ni kichefu chefu, Hii Tanzania inaelekea wapi???????
Hawa Viongozi wetu waliopewa dhamana ya kuongoza nchi hii wanafanya nini. The most expensive hopsital ni Aga khan. Halafu tena ndo ina tax exemption. Kwa faida ya nani. Hao maponjoro wenye kukwapua rasilimali zetu na kuhamishia Canada na UK ndo wanatibiwa bure!!!!!!!!!
Itafika siku tutatoana roho kwa mwendo huu!!

yaan mbatia amenifumbua MACHO,,,,,jamani WAHINDI NISIVOWAPENDA KWA XPLOITATION,,,,NASHUKURU SIJAWAH KUTIBIWA KWAO,,,,MATATIZO YANGU YANAISHIA TANDALE,AL-HAMDULILLAH
 
Tutaona na kusikia mengi sana huko bungeni.Sisi wananchi kazi yetu ni kupima na tutachukua hatua wakati muafaka utakapofika.
 
chiku abwao: jana kuna wabunge wametoa lugha chafu, mbona hawajachukuliwa hatua yoyote?
 
Abwao anachangia, anahoji mbona wao wapinzani wameambiwa wapimwe akili Milembe, lakini ccm hawakushughulikiwa. Iweje wapinzani kutumia neno 'dhaifu' iwe nongwa? Hapa kuna jambo.
 
chiku abwao: jana kuna wabunge wametoa lugha chafu, mbona hawajachukuliwa hatua yoyote?

mama abwao ndo alivo yeye kwanza anamchana spika au naibu then anasonga,,,,,,,UKITAKA UTOE STRESS SIKILIZA BUNGE LAKO,LINALODHAMINIWA NA PCCB NA CAG
 
Back
Top Bottom