Amwambia bajeti si lazima ichambuliwe na wachumi
Mkuu yupi wa Wilaya alihongwa?
Alihongwa na nani?
Ni wapi?
Ni lini?
Nia ilikuwa nini?
Tuhuma ya mkuu wa wilaya kuhongwa gari yaibukia bungeni.
Mh Meshak Opulukwa atakiwa kupeleka vielelezo kwa spika ili ishu ishughulikiwe rasmi.
Amwambia bajeti si lazima ichambuliwe na wachumi