leo mchangiaji wa kwanza alikuwa ni mbatia na sasa anachangia Kafulila.
baada ya mbatia kumaliza kuchangia,kafulila alimpa mkono wa hongera
nategemea kafulila nae akimaliza mbatia atampa mkono wa hongera kwa kuinanga bajeti ya serikali.
NB.kafulila kumpa mkono hasimu wake mkono ambaye amemfukuza kwenye chama ni dhahiri kuwa hawa watu wamezika tofauti zao,uzalendo kwanza.