Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

NINA UHAKIKA MKUBWA KABISA KWENYE HOTUBA YAKE LEO RAIS ATASHINIKIZA SPIKA AENDELEE KUWA MBUNGE NA BAADAYE SPIKA WA BUNGE LIJALO ......ILE KUAGA JANA ILIKUA SEHEMU YA MCHEZO
 
NINA UHAKIKA MKUBWA KABISA KWENYE HOTUBA YAKE LEO RAIS ATASHINIKIZA SPIKA AENDELEE KUWA MBUNGE NA BAADAYE SPIKA WA BUNGE LIJALO ......ILE KUAGA JANA ILIKUA SEHEMU YA MCHEZO
Yule sidhani kama ataacha kutorejea bungeni.
 
nimeufurahia sana utawala huu wa awamu 5, fumba na kufumbua miaka 5 imekatika!! hii ni kutokana na aina ya kipekee ya uongozi wa Rais Magufuli, kasi yake ya kuleta maendeleo imefanya siku ziwe chache! ndio maana nadhani hata miaka mitano tutakayo mpa tena octoba 2020 bado .....lkn tunamuombea kwa Mungu ampe afya na uzima akamilishe malengo aliyo yakusudia kwa watanzania.
Mungu mlinde Rais wetu huyu ambaye ni zawadi ya watanzania
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu hili ndio bunge bovu na la kijinga lililo na spika duni kuliko mabunge yote duniani kwa sasa
 
Rais tayari kaweka saini kwenye miswada yote hivyo tayari zimekuwa sheria
 
Ndugai anataja miswada 60 iliyopitishwa na kuwa sheria baada ya Rais kweka sahihi kuwa sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…