Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Istanbul kuna sehemu Dar inaitwa kwa Wahaya mwananyamala unakuta vibatari na ukifika tu mwanaume unachoma ndani kuhudumiwa ila sijaona kwa wachaga hivi!! Kwa wachagga Kimara na Mbezi ni full ufugaji wa kuku na biashara za kawaida
Povu lakutoka ukaamua kuhama topic baada ya kuzidiwa
 
Bukoba tena
d6e30e19494e6f3f3c6cc140c0b15ac7.jpg
bugabo house
a999704aa08cd61e4fa25ddb4b9cd5c2.jpg
rwabizi plaza
5c3294f26e7487e357a289651166bd62.jpg
kaitaba stadium
a63f704afa06bd8d57435d427649dddf.jpg
bukoba miembeni
da89e8ca1bc2cd295499e79327ed847f.jpg
c3e41fe17ac929cf018772efcc721fef.jpg
buyekera bukoba
975073f81cfacdbb87f350b9ccc5a208.jpg
nyakanyasi
eb73dff483f1acbf913b92ad87196c54.jpg
mkoani
d717e431511be4ef5e78c96a27400d8c.jpg
ae75a342ce5c8d12f97eee28730fb8cd.jpg
kilimahewa
Nyumba za Moshi zipo migombani
 
Wa bukoba wapenda sifa hawana lolote majumba yao kama magofu na mengine ni incomplete
 
Hilo jengo lipo Moshi acheni ubishi wa kijinga.
Kati ya mie na wewe nani anabisha kijinga!!!

Angalia hapo picha ya pili ilio postiwa hapo

5152f0e7b1947eadaf36c3ceed500bd5.jpg


Kisha njoo uone hapa

3136abddc2672d7a45709aa82e940c01.jpg


Hii ni barabara ya mzunguko pale kwenye jengo la ccm
Ofisi za passion Fm
Mwanza,
Kutoka Airpot au nyamagana
Kwenda Kenyatta road
Kupandisha Nyerere Road
Unashuka kwenda Police .
Ninabisha kapost picha ya mwanza kuwa ni moshi
Maana naelewa miji yote ya Tz vyema.

Au ingia hapa

MICHUZI BLOG: mwanza
 
Siku hizi ukitaka umaarufu Jf lazima ufananishe Kaskazini(Moshi au Arusha) na vijikitu vya ajabu ajabu.
Embu pambaneni na vimji vyenu bhana.
huu ndio Unazi unaowamaliza nyie na akili zenu za kutu!! yaani ww hujaelewa maada mpaka utaje ukanda. mtu kafananisha mkuu hajataja ukanda unaibuka na ukabira ww utakuwa ndezi kweli kweli!!
 
Kati ya mie na wewe nani anabisha kijinga!!!

Angalia hapo picha ya pili ilio postiwa hapo

5152f0e7b1947eadaf36c3ceed500bd5.jpg


Kisha njoo uone hapa

3136abddc2672d7a45709aa82e940c01.jpg


Hii ni barabara ya mzunguko pale kwenye jengo la ccm
Ofisi za passion Fm
Mwanza,
Kutoka Airpot au nyamagana
Kwenda Kenyatta road
Kupandisha Nyerere Road
Unashuka kwenda Police .
Ninabisha kapost picha ya mwanza kuwa ni moshi
Maana naelewa miji yote ya Tz vyema.
Waambie mkuu hawa jamaa sijui hata kwao hawapajui??? Hii ni aibu ya mwaka
 
Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
kwan mkuu Moshi na Morogoro wapi ni pakubwa??
 
Wenyeji wa Moshi wana pesa lakini mji wao hauna mzunguko wa hela .Ndio maana mji wa moshi umechoka ukilinganisha na Bukoba. Ukitaka kupoteza pesa zako wekeza jengo Moshi ,, ikifika saa 12 jioni watu wote wanakimbilia migombani na kuacha mji mtupu
 
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari

Ni sehemu gani moshi ulienda,, mji mdogo hata kwa baiskeli unaumaliza ndani ya dk 15
 
MOSHI MOJA HIYO...
ILA BAADHI YA WATU WENGI WA MOSHI HAWANA TABIA YA KUPIGA PICHA MAKWAO SABABU YA KUONA KAMA NI KITU CHA KAWAIDA..
ILA KWA KWELI MIJINI SI KUZURI KAMA VIJIJINI...KUMEJENGWA KUKAJENGEKA HASA...

KWA UTUNZAJI WA BUSTANI ZA MAUA NDIO WENYEWE
KWA USAFI NDIO WENYEWE...
HATA KAMA NYUMBA NI YA UDONGO ILA UTAKUTA MAUA YALIYOPANDWA HADI YANAPENDEZESHA NYUMBA NA UA ULIVYOFAGILIWA UTAPENDA...
Picha ya kanisa sio Moshi. Ni kibosho huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom