Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,405
- 1,845
MOSHI wanaleta picha za Mwanza. Luna round about hapo mwanzoni. Nipo MOSHI maeneo yote nayajua acheni kudanganya.
... Watalii wanapokwenda kupanda mlima kilimanjaro wanatokea wapi kwa wingi. Hata wabeba mabegi ya watalii wengi wanatoka arusha. Kifupi utalii wa kanda ya kaskazini unaifaidisha arusha si moshi. Leo hii ukienda moshi mahoteli ni ya zamani na hayana wateja ilhali arusha wanajenga mapya na wanapata wateja.
Machame na marangu sio mji wa MoshiMiundo mbinu Moshi iko bomba zaidi
Shule nyingi nzuri Zipo moshi kwani hata wakazi wa Dar huwapeleka Kilimanjaro watoto wengi kusoma
Kambi za jeshi Kaskazini hata sehemu za maarufu ya mafunzo ya polisi
-Usafi Moshi wako vizuri hata takwimu zinajieleza wazi
- Sehemu nzuri za starehe zipo nyingi Moshi hasa vijijini km Machame, Marangu
Ambayo sio MoshiSihitaji kuchangia sana ila hapo kwenye geti la kupandia mlima na moshi (marangu) mkuu hilo haliitaji uwe na degree kujua that's kilimanjaro national's park marangu entrance
Ikiwa hawauzi walizonunua huko kwingine ndo wauze za Moshi? Utasubiri sana. Hata uwatukane hadi mwisho ila mijamaa haitabadilika aseeKubwa ubinafsi wa wachaga hapo nimewaelewa,
Hakuna mji duniani ulioendelea kwa wazawa pekee so wachaga badilikeni uzieni ardhi wageni na mushirikiane nao mji utakua sana mkiwa hamtaki kubadilika hata Mtwara itawapita kimaendeleo maana watu wa kusini wanasifa ya kuwakarimu wageni
Et editing fika bk wewe ujioneeNi zaidi ya sifa. Ningekua meenyeji wa Msh mjini ningejitanabaisha kwa takwimu kama yule alieleta za TRA japo kaweka za mkoa.
Maana wa bk walishajipanga kufanya suprise attack ya picha baada ya kukusanya na kuedit. Sasa wa Msh wanaendeleza ujinga kucheza mziki wanaopiga bk. No way wakashinda.The Art of War ingewasaidia hapa.
Nawashauri wakuje na hard facts kwa categories ndo vita itaanza kurudi level. Kwa sasa wamekamatwa mapumbu wanaanza kutafuta tupicha walitosevu ila wako doomed kufeli wakiendeleza picha.
Fikiria hadi sasa hakuna alieweka za shamty town ikimaanisha wamepigwa na bumbuwazi hao wa Moshi.
Mkuu nimetaja vigezo vingi. Wakiamua kufuata hiyo njia wataamua vigezo mahsusi.Kwa vigezo vyako utakuwa unashinganisha makabila na si mji au manispaa.
Sidhani kama kuna manispaa inalima kahawa kama ulivyotaja
Haupo moshi mjn ila unaonekana kutokea hapo pia.Ulibahatika kusikia Mlima Kilimanjaro?..upo huko!
Haijalishim uwasilishaji wako wa mada ni kuwa ulishajipanga ukaamua kuwaattack. Sasa na wao wameingia kichwa kichwa vitani. Utashinda wewe tu. Good luck with thatEt editing fika bk wewe ujionee
Bukoba kuna tanica ya kahawa nadhani kila MTU anakifahamuMkuu nimetaja vigezo vingi. Wakiamua kufuata hiyo njia wataamua vigezo mahsusi.
Hata hivyo, kuna kiwanda cha kubangua au kukaanga kahawa moshi mjn. MCCCL. Pia kuna coffee shops na pia mnada wa kahawa Tz nadhani upo moshi mjini.
Hayo yote ni kuhusu kahawa. Twende sasa....
Uko sahihi sana mkuu. Nadhani wewe siyo mchaga au kama ni mchaga basi umetembea miji mingi. Ulinganishaji wako umekaa sahihi sana tofauti na meku wengine ambao huwa wana exaggerate sana linapokuja suala la mji wa Moshi.Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Wamepagawa hadi mwanza wakaita moshiNi zaidi ya sifa. Ningekua meenyeji wa Msh mjini ningejitanabaisha kwa takwimu kama yule alieleta za TRA japo kaweka za mkoa.
Maana wa bk walishajipanga kufanya suprise attack ya picha baada ya kukusanya na kuedit. Sasa wa Msh wanaendeleza ujinga kucheza mziki wanaopiga bk. No way wakashinda.The Art of War ingewasaidia hapa.
Nawashauri wakuje na hard facts kwa categories ndo vita itaanza kurudi level. Kwa sasa wamekamatwa mapumbu wanaanza kutafuta tupicha walitosevu ila wako doomed kufeli wakiendeleza picha.
Fikiria hadi sasa hakuna alieweka za shamty town ikimaanisha wamepigwa na bumbuwazi hao wa Moshi.

Ngoja wamalize kunywa mbege wanakuja.moshi hampo..leteni picha na nyie
Shida hana facts atupe sababu bk inaizidi mbali sana km za eneo zikiwa 90 na moshi 58 kwa nini tusilinganishe bk inaizidi moshi wewe kubaliUko sahihi sana mkuu. Nadhani wewe siyo mchaga au kama ni mchaga basi umetembea miji mingi. Ulinganishaji wako umekaa sahihi sana tofauti na meku wengine ambao huwa wana exaggerate sana linapokuja suala la mji wa Moshi.
Ila joto MOSHI linasumbua kishenzi.
Mabadiliko ya tabia ya nchi!Naona mawe yamepangwa yamepakwa chokaa kama shule ya msingi... Hahahaha kiwanda hichoBukoba kuna tanica ya kahawa nadhani kila MTU anakifahamuchenyewe hiki hapa![]()