Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Majengo ya serikali ni ya wale wahindi waliopo migeyo umefika miembeni wewe,kashura kibeta,rwamishenye,jamhuri road,kashozi road, hamugembe je nshambya mafumbo, kahororo,ihungo jee bk haufahamu kumbe kufika stend ya bukoba ni kama nyegezi na mwanza bk hauifahamu hizi hotel za serikali?
a0a14a11a196194e5556926d8c3d50f7.jpg
c6742d9222c9456d7bea5d7bbca6684e.jpg
368b8a3df6de96e6562a8ebb357a1745.jpg
2b954cf4f63b2601e8747aee6f3c6a18.jpg
3661abc3da29eb540d08eb5df9807565.jpg
958c0bec8df6a11f66dfec0ee867757e.jpg
c19f50f12c5355bd6c2e306b6acfbd84.jpg
e9114b48ae884b1e94a2d7119d43e368.jpg
90e5688c3a97ed715e94dfe13a030a9d.jpg
5970e4c91d76a126a94e17e2bab21e9d.jpg
c4a1c466549ea48fff60c8d369f83178.jpg
68853d8dd9cf71b0dd973f79becd98c3.jpg
b22e0d30220b1b605707ee6c7ec1e899.jpg
tembea uone bkb kwanza majengo hayo mengi ya zamani yalitetemeshwa sasa hivi yanajengwq mapya so ya serikali-gallery/0a6e11f12dc249274197e0cfd4f92762.jpg[/IMG]
7272b781739623d95ff6a44529d220fa.jpg
Stendi kama Nyegezi?
 
Mjomba, acha utapeli hapo umeweka picha za miji mingine unadai ni Moshi, acha hizo, hakuna malipo hapa.

Picha unayoita katikati ya Manispaa ni picha ya Mwanza mjini, kwenye sanamu ya Nyerere, katikati ya mkutano ya barabara ya Nyerere na Kenyatta kwenye mzunguko jirani na Tunakopesha Limited na njia panda ya kuelekea Police Central na bandarini. Kwa mbali hospitali ya Bugando inaonekana.

Picha nyingine mbili za juu, mojawapo ipo chini ya ile unayoita ni round about ya KCMC, pia siyo ya Moshi. Hiyo na ya chini yake ni picha za Iringa, zilizopigwa Juu ya usawa wa MR Hotel, zinazoionyesha Dodoma Road, kwa mbele inaonekana Kalenga Hotel na ghorofa la Asas kama unapandisha kutokea Manispaa kuelekea Mlandege kupitia uwanja wa Samora.

Mjomba nasikia nyie mnapenda sana magumashi, nilidhani ni kwenye mtonyo tu, kumbe hata picha mko radhi kuduplicate ili kuwin argument!

Mimi sina upande ila uongo ndo uache maana humu siyo wote hatujaitembea vizuri nchi yetu. Ukipenda ongeza na za Mbeya ili ushinde zaidi. Maana Nahisi pia umepost nyingine za Tanga na Arusha

Nampongeza wa za Bukoba kwani yule yeye hajaongeza za miji mingine.
Kumbe watu umu mnabisha tu kumbe ata kufika sehem husika bado.hizo picha ni za moshi nahiyo round about inatunzwa na bonite
 
Shida wanaishia one way tu na uswaxi ni sawa na kufika mwanza na kuishia mabatini kwenye lodge umefika kashura, ukaona kibeta jee,nkindo,nyamukazi, bandarini custom nk,hotel kama coffee,bugabo,ruhunga,prince motel,sky,victorious,upendo,kolping ,walkguard,kiroyera,stalla,elct,lake view nk
Haahha ila mkuu umenichekesha sana, Kibeta kuna nini? Na Nkindo si ipo BK vijijini...hata ingekuwa mjini kuna nini pale?
 
Mijitu yenyewe ya moshi ikizidiwa inaanza kushusha matusi, that is insanity!!!!!
 
Weka picha ulizopiga wewe mwenyew na si kuleta za watu wengine ...
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Usiiweke Dar kwenye ujinga wa aina yoyote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom