Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Taja na hotel za moshi mkuu

Moshi iko juu mkuu lakini sijaona haja ya kutaja vilivyopo kwakua sidhani Kama moshi inaweza shindanishwa Na bukoba,bukoba iko chini Sana kwa Moshi .

Stand kuu bk Ni vumbi

Club tu za starehe Hamna

Bar nzuri Hamna

Hotel nzuri Hamna

Bureau change sijawahi Ona

Lodge nzuri Hamna ,Ni guest to Na hazizidi 15.

Nyumba nyingi mjini Ni za serikali (NHC)

Kamji Ni kadogo Sana .
Ukweli mchungu Ni bk inaizidi moshi kwa Kua Na kiwanja kizuri cha mpira.baasi.
 
02a3ca8feaf4d1df3e5ae6d666bcc1be.jpg

a6aadf65be79c11dc07d8a7c0b896e48.jpg

Jango la NSSF KILIMANJARO
91e3658162e1ab0ee5bgbec505b3c0350.jpg

KILIMANJARO MOUNTAIN
2015449b69c3fbe549752ae13c49f40a.jpg

d22cef46d70860f16a1e32c824d7c9d0.jpg

4ab3ea5fd3aece98548ffe079cee60fe.jpg

Round about ya KCMC, KILIMANJARO N/PARK NA ARUSHA
83d449a8b0491e731e01d6b77e68984d.jpg

f93be88cbd7c874086495ed3d43f3dea.jpg

4f465aaadb9b701f8a957005a88698a1.jpg

Katikati ya manispaa
ee2b51ccee04fad8f677b7c64e979a33.jpg

Jango la stend kuu ya mikoani,
Bado sehem kibao sijaziweka hapa.
Bukoba badoooo snaaaa
 
Mm kwani arusha hotel inamilikiwa na wakina nani labda zinafanana maana kolping ni shirika kubwa lenye hotel nyingi bongo ni shirika la Rc.
Hahaha mhaya kubali kushindwa bhana, Arusha Hotel unasema Kolping
 
Arusha hotel inamilikiwa na Shafii, by the way, kukujulisha tu zaidi mimi mwenyeji wa arusha nimezaliwa nimekulia na kila kitu changu ni Arusha, nina hakika na hiyo hotel umedanganya. Naomba uweke picha halisi ya kolping hotel kama niliyokuwekea hapa chini, acha ku brag na hotels za miji ya watu,

Now this looks exactly kibukoba
3539e5b70cac8e2505c789210f70e06c.jpg
Hahaa aisee umemuumbua vibaya
 
Kwa sababu tu ya miondombinu tu kama stendi soko na barabara, bukoba ambayo haijafanikiwa sana ndo wameanza kujenga stendi ya mabasi nyanga ila kama si hivyo bk ingeshakuwa jiji zamani
Stendi tu iifanye BK kuwa jiji? Idadi ya watu je? Au hujui vigezo vya sehemu kuwa jiji?
 
unafanya promo kwa bidii zote ila naishia kuona tu coffee,nyamkazi kwa wanywa gongo Na fukwe chafu sijawahi shuhudia!

Ni bora fukwe ya bahari Kua chafu ila Sio ziwa,Na ukitaka jua fukwe chafu nenda nyamkazi.
Nyamukazi ni mwaloni sehemu wanapouzia samaki fukwe kuna kiroyera beach,bunena beach, bukoba coop beach,yassira beach,na kabuwara beach cheki
54e53e70c19bfe5b6d6dc8eb9a5a5a06.jpg
 
Hivi moshi kuna benki ngapi bk INA nyingi kuliko moshi mjini bukoba kuna benki zaidi ya kumi. Tetemeko liachie mungu maana huamukia popote kizuri IPO hai unaweza ukashangaa hapo ulipokaa unarukaruka yaache hayo laana zitawatafuna watakaokula misaada
Zitaje hizo bank za BK
 
Moshi iko juu mkuu lakini sijaona haja ya kutaja vilivyopo kwakua sidhani Kama moshi inaweza shindanishwa Na bukoba,bukoba iko chini Sana kwa Moshi .

Stand kuu bk Ni vumbi

Club tu za starehe Hamna

Bar nzuri Hamna

Hotel nzuri Hamna

Bureau change sijawahi Ona

Lodge nzuri Hamna ,Ni guest to Na hazizidi 15.

Nyumba nyingi mjini Ni za serikali (NHC)

Kamji Ni kadogo Sana .
Ukweli mchungu Ni bk inaizidi moshi kwa Kua Na kiwanja kizuri cha mpira.baasi.
Hapo majengo ya nini hayo hayana kazi hizo ni hotel tumia facts na picha sio poroja tu kiswahili
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Huyu jamaa ulimwelimisha vizuri sana, kama hana nauli ya kufika Moshi aseme tumpatie aende .
 
Nyamukazi ni mwaloni sehemu wanapouzia samaki fukwe kuna kiroyera beach,bunena beach, bukoba coop beach,yassira beach,na kabuwara beach cheki
54e53e70c19bfe5b6d6dc8eb9a5a5a06.jpg

Zote hizo nazifahamu,Kama kiroyera ndo Naeza sema iko juu zaidi but pia Haina jipya !kuna camping site hapo Na iko ovyo tu ,nliona kijukwaa Kama cha stage ya maharusi kimeinamia ziwani juu wakisimama watu wa Tatu wa nguvu wanaeza zama nacho .then kwa ujumla bk Kama Ni Mgeni chakula Ni shida ,kuna Ki Mgahawa nliingia nkakuta kijana anaeosha sa hani Na kudeki kaliwa funza miguuni Na kavaa nguo ambazo zilikua hazijafuliwa mwezi.

Na mgahawa huo ndo nliambiwa ndo mkubwa.jioni ilipofika nkataka kwenda club ,nkapelekwa sehemu inaitwa oxygen duuuhh humo Ndani Ni carbon dioxide Na Giza balaa .alafu Ni nyumba ya NHC,nkakataa nkapelekwa liners.huko nako ilikua balaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom