Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kimtazamo wangu ni kuwa bukoba ingekuwa mbali sana tena zaidi ya Moshi tatizo wenyeji hampendi kurudi kwenu kama wachaga ambapo wanaporudi husaidia mzunguko wa pesa hata kwa muda mfupi pia wanapata fursa ya kuuona mji wao na changamoto zake
Pia Moshi imepakana na Arusha ambapo pia Arusha ni jiji na huwezi enda Arusha bila kupita Moshi kutokea Dar, so husaidia mzunguko wa pesa katika mji wa Moshi wakati Mlima Kilimanjaro huwabeba sana wanamoshi
But remember in development kuna concept of mutual development ambapo jirani yako anapopiga hatua probably na wewe unaweza kuendelea kutokana na ukaribu wenu... Namaanisha ukaribu wa Arusha na Moshi ni changamoto kubwa maendeleo ya ukanda huu
So bk kama mmejitenga fulani hivi na miji mingine mikubwa na hamna kivutio kikuu cha kidunia watalii wengi wakaja kwenu
Nilitaka kusahau kuwa pia Moshi wanabebwa na KIA
All in all Miji yote inapiga hatua
 
Hii miji miwili ya makabila yaliyosoma lakini full kichakani. PEKE YAO WANYAKYUSA NDO WAJANJA.
Bukoba kama Moshi wengi wao walikuwa wana invest vijijini na siyo mijini....Kwahiyo Moshi kama ilivyo Bukoba miji yao haina wawekezaji wamaana....Ni miaka ya karibuni wameanza kuwekeza mjini.....Ni muhimu wa wazawa kuanza kuwekeza kwenye miji yao ili kuongeza wigo wa uwekezaji na kuongeza ajira maeneo ya vijijini...
 
Kimtazamo wangu ni kuwa bukoba ingekuwa mbali sana tena zaidi ya Moshi tatizo wenyeji hampendi kurudi kwenu kama wachaga ambapo wanaporudi husaidia mzunguko wa pesa hata kwa muda mfupi pia wanapata fursa ya kuuona mji wao na changamoto zake
Pia Moshi imepakana na Arusha ambapo pia Arusha ni jiji na huwezi enda Arusha bila kupita Moshi kutokea Dar, so husaidia mzunguko wa pesa katika mji wa Moshi wakati Mlima Kilimanjaro huwabeba sana wanamoshi
But remember in development kuna concept of mutual development ambapo jirani yako anapopiga hatua probably na wewe unaweza kuendelea kutokana na ukaribu wenu... Namaanisha ukaribu wa Arusha na Moshi na changamoto kubwa maendeleo ya ukanda huu
So bk kama mmejitenga fulani hivi ni miji mingine mikubwa na hamna kivutio kikuu cha kidunia watalii wengi wakaja kwenu
Nilitaka kusahau kuwa pia Moshi wanabebwa na KIA
All in all Miji yote inapiga hatua

Nadhani huwafahamu wana Bukoba...hao kusahau kwao siyo rahisi kihivyo ukitaka kuelewa angalia misiba yao hao jamaa...hawazikwi mijini wengi wao huko kwao tena vijijini.....
 
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari

Ni sehemu gani moshi ulienda,, mji mdogo hata kwa baiskeli unaumaliza ndani ya dk 15
Du kweli elimu sio maendeleo yaani hawa jamaa watani zangu Inshomile wanavyojidai huku Bongo basi mm nikadhami kamji kao katakuwa Amazing? Anyway mtoa mada naomba ubadishe heading iwe Bukoba vs Musoma lkn kuwalinganisha na Moshi ni kuwapandisha chart watoto wamjini wanasema kuwapa kiki!

Nshomile wanawekeza kwingine. Nani yuko tayari kupoteza pesa zake kujenga ambao anaamini si wa kibiashara?, au nani awekeze moshi mji ambao umeterekezwa na wenyeji? Hawa watu wapime huko
Kimtazamo wangu ni kuwa bukoba ingekuwa mbali sana tena zaidi ya Moshi tatizo wenyeji hampendi kurudi kwenu kama wachaga ambapo wanaporudi husaidia mzunguko wa pesa hata kwa muda mfupi pia wanapata fursa ya kuuona mji wao na changamoto zake
Pia Moshi imepakana na Arusha ambapo pia Arusha ni jiji na huwezi enda Arusha bila kupita Moshi kutokea Dar, so husaidia mzunguko wa pesa katika mji wa Moshi wakati Mlima Kilimanjaro huwabeba sana wanamoshi
But remember in development kuna concept of mutual development ambapo jirani yako anapopiga hatua probably na wewe unaweza kuendelea kutokana na ukaribu wenu... Namaanisha ukaribu wa Arusha na Moshi ni changamoto kubwa maendeleo ya ukanda huu
So bk kama mmejitenga fulani hivi na miji mingine mikubwa na hamna kivutio kikuu cha kidunia watalii wengi wakaja kwenu
Nilitaka kusahau kuwa pia Moshi wanabebwa na KIA
All in all Miji yote inapiga hatua
Watu wanaangalia maslahi, nijenge majumba kisa ni kwe ?, hiyo hasara ataifidia nani?
 
Inachozidiwa Moshi ni Ziwa Victoria... Ila Bukoba haiifikii Moshi
 
Lakini Moshi is so beautiful tukubali tukatae...Kwetu BK ni pana tu lakini hakuna mpangilio na mji hauna mvuto
 
Nadhani huwafahamu wana Bukoba...hao kusahau kwao siyo rahisi kihivyo ukitaka kuelewa angalia misiba yao hao jamaa...hawazikwi mijini wengi wao huko kwao tena vijijini.....
Kuzikwa pekee haitoshi kwani hamurudi nyote mngetafuta wiki maalum ya wanabk tukaona msafara mrefuuu kama wachaga na ikawa kama tamaduni kwa watanzania wengine kuwa wahaya hao au wanabk haooo wanaenda kwao
 
Picha zinanipa shauku ya kuja huko bk maana Kilimanjaro ndio naishi ingawa sio mzaliwa wa huu ukanda
Nitatenga a week nione mliyoyasema na kuyapiga picha kwa macho yangu, probably 2017
 
Huu uzi ungekua na maana kama kungewekwa vigezo.

Mfano vya kijamii. Idadi ya wasomi, idadi ya matajiri, idadi ya watu, idadi ya NGOs, kambi za wakimbizi, jinsi jamii inavyojiratibu, ushahidi wa uwepo wa mila kandamizi au imani mbovu km mauaji ya albino na vikongwe, nk

Elimu. Idadi ya shule na vyuo level zote. Ufaulu kitaifa miaka walau mi5 nyuma.

Hadhi ya mji (jiji manispaa halmashauri etc. land area, vivutio vya utalii (moshi kili bukoba victoria), idadi ya watalii nk

Siasa. Nani mtawala, wana umoja, idadi ya wabunge, wametoa mawaziri rais (tunaangalia mji na sio kabila. Mfn Magu angekua wa Bk tyr gepu hilo), n.k.

Miundombinu. Kilometa za barabara za lami, huduma zinazofanya kazi za usafiri wa umma na viwango vyake (mabasi treni meli ndege na pia idadi zake kwa ratiba), idadi ya magorofa ya gorofa 4 5 6 7 8 9 10 n.k, usafi wa mji, urefu wa mitaro, urefu na ujazo wa mifumo ya majitaka, barabara zisizo za lami n.k.

Uchumi. Wote wana ndizi na kahawa na uvuvi kwahyo hapo ushindani ni kiwango cha uzalishaji mauzo na mapato kwa hizo shughuli na zinginezo pia walizozidiana. GDP, contribution ya kodi kwa taifa, idadi ya magari ya serikali na binafsi, trading na shopping centre,

Maadamu ni mijini inafaa kushindanisha maeneo ya sterehe na kujiliwaza (baa beach zilizoendelezwa cinema nyamachoma joints bustani za mijini hoteli na idadi ya vitanda4 swimming pools kumbi za disko pombe za kienyeji na ma maeneo rasmi ya kunywea ikiwamo ustaarabu wake na hapa picha zinahusika sn nk), idadi ya watumiaji wa simu na smartphones,

Uwezo pia uangalie huduma za kifedha mabenki na taasisi za fedha, mzunguko wa pesa,

Usalama na ulinzi. Idadi ya polisi na vituo vya polisi, kambi za jeshi, kiwango cha uhalifu, uelewa wa wenyeji kuhusu usalama kwa ujumla,

Kimataifa. Idadi ya mashirika na taasisi za kimataifa zenye makazi miji hiyo, ofisi ndogo za ubalozi, nk

Najua vingine vigumu kupata kwa ushabiki wa humuhumu ila with time inawezekana. Nadhani hapo tutaitendea haki JF as HoGT.

Kujaza mapicha ya majengo humu sio ishu sana maana ni sehemu tu ya ushidani tena kijipengele.

Kurahisisha teueni watu wenu wasimamie mtifuano. Maana kuna stori hii miji (sio kabila) ina wasomi na wastaarabu wengi. Make this a battle of minds.

Kila kipengele kitachokubaliwa kushindaniwa kuwe na takwimu.

Mwishoni itatupa mwanga as a people tukowapi na wapi pa kujiboresha.

Nawasilisha na poleni kwa gazeti lisilo na picha.
 
waache tuu waanzishe, washambulie ina kuna Uwazi kabisaa... wakubali wasikubali WACHAGA WAPO JUU na ndio maana kila utani unaohusu pesa Wanaongelea wachaga.....Chezea mchaga na kutafuta tangu enzi za ukoloni....
Mji wa Moshi una zaidi ya wachagga
 
jaman ww mtu wap ??kusoma hujui hata picha huoni mo twn utalinganisha na bk
 
Mosho ya 70s ilikuwa kubwa na mbele kimaendeleo kuliko miji yote TZ ukiondoa Dar na Tanga.

Sababu zilizofanya miji ya Arusha Mwanza Mbeya na Morogoro kuipiku Moshi ndio hizo leo zinaifanya Bukoba kutaka kuipiku moshi kama manispaa.

Dahana hapa ni kuongelea manispaa ya moshi vs manispaa ya bukoba kwa kuzingatia eneo halisi la manispaa na maendeleo yake. Hii dhana haina budi kutenganishwa na dhana ya moshi kama chagga empire na Bukoba kama bahaya empire ambazo zina matokeo tofauti katika mlinganisho.

Kwa mantiki ya bukoba na moshi kama manispaa. Bukoba kuna maendeleo makubwa hasa sekta ya ujenzi kuliko moshi. Majengo mengi mazuri ya moshi manispaa ni yale yaliyojengwa ama na wakoloni. Ama na waarabu na ama na chama cha ushirika.

Sababu kuu ya kuzorota kwa moshi kwa maoni yangu ni.

1. Kutokuwepo kwa ardhi ya kutosha kwa uwekezaji eneo la manispaa. Mji wa moshi umezungukwa na mashamba ama ardhi ya watu binafsi.

2. Mila za kichagga za kutopenda kuuzia wageni ardhi au kumilikisha wageni ardhi.

3. Mila za kichagga za ubinafsi. Mrombo atajenga rombo na mmarangu sawia.

4. Mabadiliko ya tabia nchi. Moshi kuna joto sana.

5. Kukua kwa kasi kwa mji wa Arusha hivyo kuhamisha shughuli nyingi za uchumi hasa utalii kutoka moshi kwenda Arusha. Kwa wanaosema utalii unaibeba moshi wajiulize kwa makini. Makampuni mengi yanayojihusisha na utalii yapo moshi au arusha. Watalii wakitua KIA wanaelekea wapi kwa wingi kati ya arusha na moshi. Watalii wanapokwenda kupanda mlima kilimanjaro wanatokea wapi kwa wingi. Hata wabeba mabegi ya watalii wengi wanatoka arusha. Kifupi utalii wa kanda ya kaskazini unaifaidisha arusha si moshi. Leo hii ukienda moshi mahoteli ni ya zamani na hayana wateja ilhali arusha wanajenga mapya na wanapata wateja.
 
Miundo mbinu Moshi iko bomba zaidi

Shule nyingi nzuri Zipo moshi kwani hata wakazi wa Dar huwapeleka Kilimanjaro watoto wengi kusoma

Kambi za jeshi Kaskazini hata sehemu za maarufu ya mafunzo ya polisi

-Usafi Moshi wako vizuri hata takwimu zinajieleza wazi

- Sehemu nzuri za starehe zipo nyingi Moshi hasa vijijini km Machame, Marangu
 
Bk ni mbali we we unafikiri kuna umbali saw a na moshi na dar.lakini bk haitegemei sana dar inategemea sana Kampala km 250 kutoka bk,na mwanza km 250 ,ndo maana kuna mabasi mengi ya mwz to bk.ndege za mwz to bk,ndo maana tunaitaji meli,kipindi cha zamani tulikuwa na meli ,5 kati ya mwz,Kampala na bk mv bk,Victoria, kishimba,serengeti ,na mpina hivyo bukoba na dar havitegemeani sana kwanza nauli elfu 60000 so bora ukanunue kiwanja bk ukajenga nyumba milimani.
Kuna mabasi mangapi yanaondoka stemdi kuu mjini asbh kwenda kokote?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom