Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Picha zenye tarehe sio Moshi. Pia hayo mageti na camp za kupandia mlima sio Moshi
Sihitaji kuchangia sana ila hapo kwenye geti la kupandia mlima na moshi (marangu) mkuu hilo haliitaji uwe na degree kujua that's kilimanjaro national's park marangu entrance
 
Kubwa ubinafsi wa wachaga hapo nimewaelewa,
Hakuna mji duniani ulioendelea kwa wazawa pekee so wachaga badilikeni uzieni ardhi wageni na mushirikiane nao mji utakua sana mkiwa hamtaki kubadilika hata Mtwara itawapita kimaendeleo maana watu wa kusini wanasifa ya kuwakarimu wageni
 
Kama tunataka kulinganisha miji kwa leo hii Tanganyika mlinganisho ufuatao utakuwa na maana zaidi kwa vigezo vya kujengeka kwa mji. Kukua kwa mji na mzunguko wa pesa.

1. Dar es Salaa na Mwanza. Hawa ni WAKUBWA hawana mtu wa kuwakaribia kwa lolote.

2. Arusha Mbeya Morogoro Tanga na Dodoma. Hawa wanafukuzia kaka zao wawili.

3. Moshi Bukoba Musoma Geita Shinyanga Iringa na Mtwara.

4. Lindi Kibaha Songea Njombe Kigoma Sumbawanga Mpanda Kahama na Singida.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu inajengwa mpya sasa hivi mtaa Wa kyakairabwa km 10 kutoka mjini mchoro huu hapa
4d7d42fb169790ccf310d23facd8a7ae.jpg
f873c1b55de81a0e46de875bc5737322.jpg
c550d801c3502d5c38b8cb606080abdf.jpg
01a0c47e44426c02177286a3b5f03453.jpg
42ca286f29ce6d5a4bd629830b0fa6e2.jpg
df6291bc41cc1008b72ddc199dc4ff3e.jpg
bd511f3b88fab7725558bc41cec0cf5e.jpg
ujenzi tayari umeanza
Kwa sura ya mabasi isvyoakisi uhalisia hata hiyo stendi haitakua ilivyo pichani. Btw, endelwa kuweka vilivyopo. So far mko vzr kwenye picha. Mlijipanga kuanza huu ushindani.

Ni sawa na umpige mtu ngumi kisogoni afu ndo mianze mpambano. All the same, wekeni vigezo sio kutuma picha tu. Takwimu poa muhimu na ushahidi wazo.
 
Mi nashangaa sana sasa hvyo vipicha picha vya kuta za nyumba ndo kuthibitisha kupo vizuri au? Kila mtu kajionea hakuna haja yakutuma picha we fanya kautafiti kadogo mchukue mjanja wa Moshi uje mlingamishe na mjanja wa bukoba utapata majibu kuanzia mavazi na kila kitu baaaasi
Mjanja wa bk Rugemalila james
 
Baba usihangaike kumshawish mtu bukoba huwez ifananisha na Moshi ikiwa ushafka hzo sehemu,moshi pako vizur mara nyingi zaid ya Bukoba km hutaki shauli yako endeleen kujifariji maana nyie kila kitu kujisismfia,ila kumbuka Moshi ni manispaa na bukoba bado halmaahaur ya Mji wapi na wapi,japo mm cyo wa moshi wala bukoba lkn bukoba big Noo kwa Moshi
Kumbe we uliyepost hujui chochote hujui kuwa bukoba ni manispaa au ni alimashauli ya mji kwanza kabisa tambua bukoba iliitangulia moshi kuwa manispaa ndo uanze kupost
 
Huu uzi ungekua na maana kama kungewekwa vigezo.

Mfano vya kijamii. Idadi ya wasomi, idadi ya matajiri, idadi ya watu, idadi ya NGOs, kambi za wakimbizi, jinsi jamii inavyojiratibu, ushahidi wa uwepo wa mila kandamizi au imani mbovu km mauaji ya albino na vikongwe, nk

Elimu. Idadi ya shule na vyuo level zote. Ufaulu kitaifa miaka walau mi5 nyuma.

Hadhi ya mji (jiji manispaa halmashauri etc. land area, vivutio vya utalii (moshi kili bukoba victoria), idadi ya watalii nk

Siasa. Nani mtawala, wana umoja, idadi ya wabunge, wametoa mawaziri rais (tunaangalia mji na sio kabila. Mfn Magu angekua wa Bk tyr gepu hilo), n.k.

Miundombinu. Kilometa za barabara za lami, huduma zinazofanya kazi za usafiri wa umma na viwango vyake (mabasi treni meli ndege na pia idadi zake kwa ratiba), idadi ya magorofa ya gorofa 4 5 6 7 8 9 10 n.k, usafi wa mji, urefu wa mitaro, urefu na ujazo wa mifumo ya majitaka, barabara zisizo za lami n.k.

Uchumi. Wote wana ndizi na kahawa na uvuvi kwahyo hapo ushindani ni kiwango cha uzalishaji mauzo na mapato kwa hizo shughuli na zinginezo pia walizozidiana. GDP, contribution ya kodi kwa taifa, idadi ya magari ya serikali na binafsi, trading na shopping centre,

Maadamu ni mijini inafaa kushindanisha maeneo ya sterehe na kujiliwaza (baa beach zilizoendelezwa cinema nyamachoma joints bustani za mijini hoteli na idadi ya vitanda4 swimming pools kumbi za disko pombe za kienyeji na ma maeneo rasmi ya kunywea ikiwamo ustaarabu wake na hapa picha zinahusika sn nk), idadi ya watumiaji wa simu na smartphones,

Uwezo pia uangalie huduma za kifedha mabenki na taasisi za fedha, mzunguko wa pesa,

Usalama na ulinzi. Idadi ya polisi na vituo vya polisi, kambi za jeshi, kiwango cha uhalifu, uelewa wa wenyeji kuhusu usalama kwa ujumla,

Kimataifa. Idadi ya mashirika na taasisi za kimataifa zenye makazi miji hiyo, ofisi ndogo za ubalozi, nk

Najua vingine vigumu kupata kwa ushabiki wa humuhumu ila with time inawezekana. Nadhani hapo tutaitendea haki JF as HoGT.

Kujaza mapicha ya majengo humu sio ishu sana maana ni sehemu tu ya ushidani tena kijipengele.

Kurahisisha teueni watu wenu wasimamie mtifuano. Maana kuna stori hii miji (sio kabila) ina wasomi na wastaarabu wengi. Make this a battle of minds.

Kila kipengele kitachokubaliwa kushindaniwa kuwe na takwimu.

Mwishoni itatupa mwanga as a people tukowapi na wapi pa kujiboresha.

Nawasilisha na poleni kwa gazeti lisilo na picha.
Kwa vigezo vyako utakuwa unashinganisha makabila na si mji au manispaa.

Sidhani kama kuna manispaa inalima kahawa kama ulivyotaja
Ni sehemu gani moshi ulienda,, mji mdogo hata kwa baiskeli unaumaliza ndani ya dk 15


Nshomile wanawekeza kwingine. Nani yuko tayari kupoteza pesa zake kujenga ambao anaamini si wa kibiashara?, au nani awekeze moshi mji ambao umeterekezwa na wenyeji? Hawa watu wapime huko

Watu wanaangalia maslahi, nijenge majumba kisa ni kwe ?, hiyo hasara ataifidia nani?
 
Istanbul kuna sehemu Dar inaitwa kwa Wahaya mwananyamala unakuta vibatari na ukifika tu mwanaume unachoma ndani kuhudumiwa ila sijaona kwa wachaga hivi!! Kwa wachagga Kimara na Mbezi ni full ufugaji wa kuku na biashara za kawaida
Mfananisho ni bk na msh. Dar haihusiki
 
Miundo mbinu Moshi iko bomba zaidi

Shule nyingi nzuri Zipo moshi kwani hata wakazi wa Dar huwapeleka Kilimanjaro watoto wengi kusoma

Kambi za jeshi Kaskazini hata sehemu za maarufu ya mafunzo ya polisi

-Usafi Moshi wako vizuri hata takwimu zinajieleza wazi

- Sehemu nzuri za starehe zipo nyingi Moshi hasa vijijini km Machame, Marangu
Huyu jamaa zombi nini??? Hapa tunasema bk vs moshi sio kagera vs kilimanjaro
 
Kuzikwa pekee haitoshi kwani hamurudi nyote mngetafuta wiki maalum ya wanabk tukaona msafara mrefuuu kama wachaga na ikawa kama tamaduni kwa watanzania wengine kuwa wahaya hao au wanabk haooo wanaenda kwao
Hivi bk kuna wahaya tu mi sijui hivyo
 
Hawana lolote achana nao misifa tu!!!!
Ni zaidi ya sifa. Ningekua meenyeji wa Msh mjini ningejitanabaisha kwa takwimu kama yule alieleta za TRA japo kaweka za mkoa.

Maana wa bk walishajipanga kufanya suprise attack ya picha baada ya kukusanya na kuedit. Sasa wa Msh wanaendeleza ujinga kucheza mziki wanaopiga bk. No way wakashinda.The Art of War ingewasaidia hapa.

Nawashauri wakuje na hard facts kwa categories ndo vita itaanza kurudi level. Kwa sasa wamekamatwa mapumbu wanaanza kutafuta tupicha walitosevu ila wako doomed kufeli wakiendeleza picha.
Fikiria hadi sasa hakuna alieweka za shamty town ikimaanisha wamepigwa na bumbuwazi hao wa Moshi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom