sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,763
Nimecheka sana kwa kweli. Kelele za wachaga bwana. Yani vinavyopatikana mjini Moshi ndo vinapatikana vijijini Bukoba. Potelea mbali hata vikikosa Bukoba mjini ila vijijini vipo. Hii ni aibu kubwa uchaganiHilo ndo unalinganisha na cathedral ya bukoba .yaani linazidiwa na kigango cha bugandika huko kizibaView attachment 1012688
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


