Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Universities and university colleges in Moshi
KCMC
View attachment 1013230

Moshi Co-operative University (MUCO)
View attachment 1013234

Mwenge Catholic University (Mwekau)
View attachment 1013236

Mweka Wildlife College (MWICO)

View attachment 1013244

Stephano Moshi University College (STAMUCO)
View attachment 1013245
Hii inaonesha kabisa kuwa mengine yote mnayosema Moshi hayapo! Kama picha za vyuo zimepatikana na ni original from the source zikiwa na picha za vibao vya vyuo, inaonesha kabisa hayo mengine hayapo na ndo maana hayaletwi picha zake na zikiletwa ni za mtandaoni hazina hata caption au vibao vya location.

Kwa vyuo nakubali. Sasa nataka na picha za hivyo vingine mnavyovisema. Najua nimewashika pabaya ila tuvumilane ndugu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe wakati wenzio wanapiga picha za raia wahaya huko vijijini, wewe unapiga picha za appartments za wawekezaji zinazokaliwa na wageni kwa kulipia?? Looser kabisa. Eti huyu nae ni mchaga anaelewa kinachofanyika hapa jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reli kupaki stand unamaanisha nini?Watoto wa mliozaliwa miaka ya 2000,mna tabu sana.Kitu kama hujui uliza upate faida.Usijifanye "much know".

Miaka ya nyuma shirika la reli lilikuwa na mabasi yakitoa huduma za usafiri kuunganisha na mikoa isiyounganishwa na reli ya kati.Mfano Dar - Iringa,Itigi(Singida) - Mbeya n.k.

Usafiri huu wa mabasi ulikuja kufa mwaka 1990.
Namuwekea na station ya Kigoma ya miaka hiyo hapa. Alafu aseme kama ndio stend ya mabasi ya Kigoma.
Screenshot_20190208-105037.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwanja wa kipekeee wa mpira mjini bukoba kaitaba stadium bukoba.uwanja WA tatu Kwa ubora tz .hivi wachaga mnajuaga hata mpira kweli.maana sijawahi sikia timu kutoka moshi.

Huku kagera sugar inaziumbisha timu za Simba na yanga na ni moja ya timu kubwa tano nchini all the time
1. Simba
2.Yanga
3.Azam
4.kagera sugar
5.mtibwa sugarView attachment 1013469View attachment 1013471

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaitaba noma sana. Pitch yake kama mbele aisee. Sema yamebaki majukwaa. Yakiwekwa majukwaa ya ukweli hawa wachaga wakija kuangalia mechi watajificha Bukoba wabaki huku huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba hakuna shule yoyote katika mkoa wa Kilimanjaro usiokuwa na zile playground hapo nikuweke sawa na kama siyo zile umiseta na utashuta kuondolewa na mambo mengine ya kinafiki wa FAT ya ndolanga na wenzake kujenga mazingira kupata vipaji katika michezo nadhani ktk soka wachagga wangejaa maana tungeuzika ulaya ila haiko kifursa ubabaishaji tu umebakia natamani hata katiba ya TFF ifanyiwe marekebisho maana bado naona leordger tenga arudi kuliongoza maana ni raisi bora katika shirikisho la mpira wa miguu tanzania#

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo shule za Tanga, Lindi, Kigoma n.k hazina play grounds? Hebu eleza kukosa uwanja wa maana hapo Moshi na sio unatuletea habari za viwanja vya shule vya kufanyia mazingaombwe ya wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishamwambia na alikimbia kabisa na kutoroka kusikojulikana .hasijaribu kulinganisha moshi na bukoba upande wa dini maana bukoba sio ya mchezo .tukileta parokia za bk atalia.halafu mkuu leta picha za vijijini huko bugabo tuwafunge mdomo hawa watani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja mdogo mdogo kamanda wangu. Mbona mchezo mdogo sana!? Mi sitafuti mahoteli kuyapiga picha kama wao. Na deal na kijijini tu! Watatafutana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani wa kulaumiwa?
Target kubwa kipindi hicho lilikuwa ni kukuza utalii,hivyo miundimbinu hiyo iyajengwa mahususi kwa ajili hiyo.
Kwa mfano Wakoloni walijenga miundombinu si kwa ajili ya waafrika,ilikuwa kwa manufaa yao.
Miundombinu mingi ilijengwa palipo kwenye manufaa,ndio maana mjini wa Moshi unaonekana ulivyo katika picha (miaka kumi baada ya Uhuru) .
Ndio maana utaona kuna Mzungu anakatiza mitaani,(pembezoni mwa barabara).
Hata Leo wazungu wanaotembelea Mlima Kilimanjaro ni tofauti na wazungu wa Missionary wanaotembelea Kagera.
Nina hakika masuala ya ukanda,ukabila na majisifu miongini mwa watanzania yataisha siku si nyingi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom