Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Tembea uone wewe kinusi nilipita kazi pale za utafiti was Ruby, nikaenda chogola kwenye dhahabu Napo nilifanya yangu nikarudi mjini Sasa kiandika kinusi kwetu unafikiri mi wa bush?
 
Tembea uone wewe kinusi nilipita kazi pale za utafiti was Ruby, nikaenda chogola kwenye dhahabu Napo nilifanya yangu nikarudi mjini Sasa kiandika kinusi kwetu unafikiri mi wa bush?
 
Tembea uone wewe kinusi nilipita kazi pale za utafiti was Ruby, nikaenda chogola kwenye dhahabu Napo nilifanya yangu nikarudi mjini Sasa kiandika kinusi kwetu unafikiri mi wa bush?
Mkataa kwao mtumwa kaka. Hawa wachaga sio waume zako kwamba sasa umekua umeolewa ndo umebadili na kabila. Wewe utabaki mgogo tu mkuu. Kukaa Moshi kusikudanganye ugogo umezaliwa nao! Pole sana kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataa kwao mtumwa kaka. Hawa wachaga sio waume zako kwamba sasa umekua umeolewa ndo umebadili na kabila. Wewe utabaki mgogo tu mkuu. Kukaa Moshi kusikudanganye ugogo umezaliwa nao! Pole sana kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sundoka acha kutokwa povu, mzee kinusi kwetu kakupa fact zote kuhusu bukoba na uchagani unaweweseka kwa povu
Niliwahi kukuambia level ya wahaya labda Ni watani zenu waha na sii vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaa! Haaaa! Ningeandika kondoa kwetu ungesema mi mrangi kutoka a na ueleweke wako finyu, Huku Nick names shangazi ndo tunatumia think big mi nipo flexible kusoma na kukulia Ms siyo ishu kuwa natetea uchaga najua mji ulivyo povu jingiiii!!! Hebu toa comments zako kuhusiana na hii mada tupate kujua uelewa wako wa nchi hii.
Mzee hawa wahaya huwa ni wabishi mno anaweza kubishana hata na jiwe
Yan mhaya anaweza mfikia mchaga kwa lipi labda?
Mhaya ni mbwembwe tu ni empty set kbs akiwa na Corolla ya milion 3 na nusu anajiita bilionea wakati uchagani corola ni gari ya housegirl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuja mdogo mdogo kamanda wangu. Mbona mchezo mdogo sana!? Mi sitafuti mahoteli kuyapiga picha kama wao. Na deal na kijijini tu! Watatafutana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajifurahisha
Vijiji vya uchagani Ni developed kwa 90% wakati uhayan 56%
Muleba tu yenyewe vijiji 35% havina umeme ndio muwe na ubavu wa kujilinganisha na wachaga?
Tembea uchagani yote ukikuta kijiji hakina umeme natoa milion 5
Kuhusu dini
Jimbo katoliki moshi ndio linaongoza kuwa na mapadre wengi waishio nje diaspora
Vile vile ktk maaskofu katoliki 34, maaskofu 11 Ni kutoka Jimbo la Moshi
Mapadre wazawa tumewapiga bao
Nikikuletea picha za parokia hususan maeneo ya kibosho,uru, marangu, kilema,vunjo,rombo utazimia utadhan ni ulaya
fazili hebu andaa picha za maparokia kadhaa mm niwaandalie picha za vijiji vya rombo tu tuone kama hamtazimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Blaza hizi hotel zimejaa mikoa yote Tz. Hata mimi sishindwi kupiga picha Dar nikasema ni Bk. Tupigie na kibao cha hiyo hotel. Mbona mnapenda ushindi wa kuunga unga??

Ukimaliza kuleta picha za hivyo ulete na za makazi yenu huko vijijini kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hôtel ipo marangu kijijin
alafu unahitaji kuona kibao? Yaan hauoni maelezo ya hiyo picha? Haya kusoma hujui ,umeshindwa kuona huo mlima Kilimandjaro unaoonekana?
Vijiji vya wachaga 90% vime develop idara zote
Uhayan Hali mbaya nyumba za nyasi zimejaa muleba tembea kimwani,ngenge,ngote utaziona,mbaya zaidi nyingine zipo barabaran kabisa pembeni ya lami tembea njia ya muleba mganza utaniambia
vijiji vya wachaga Hakuna hata kimoja hakina umeme
Ni maajabu mkoa maskini kagera kujipima ubavu na mkoa wa matajiri Kilimanjaro
Pichan ni mji mdogo wa tarakea rombo
Uchagani hatuna nyumba za nyasi tangu 1980`s
tapatalk_1549272456210.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo shule za Tanga, Lindi, Kigoma n.k hazina play grounds? Hebu eleza kukosa uwanja wa maana hapo Moshi na sio unatuletea habari za viwanja vya shule vya kufanyia mazingaombwe ya wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pmj na kutokuwa na uwanja wa mpira sion hasara yoyote wachaga mbona tunapiga soka?
Austria Kuna mchezaji anaitwa lema, mchaga halisi
Ligi ya bongo wamejaa kibao sion shida yoyote
Mchaga humkosi idara yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo shule za Tanga, Lindi, Kigoma n.k hazina play grounds? Hebu eleza kukosa uwanja wa maana hapo Moshi na sio unatuletea habari za viwanja vya shule vya kufanyia mazingaombwe ya wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pmj na kutokuwa na uwanja wa mpira sion hasara yoyote wachaga mbona tunapiga soka?
Austria Kuna mchezaji anaitwa lema, mchaga halisi
Ligi ya bongo wamejaa kibao sion shida yoyote
Mchaga humkosi idara yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauna haja ya kusema unaleta. We weka tu mkuu. Kwani sisi tukitaka kuleta tunaanza kulia lia kama wewe!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewataadharisha ili wakati mkiaibika msije tulaumu
Maana mliposema bk Ni zaidi ya Moshi tuliwapuuza mkaweka vipicha vya magofu yenu weee mkajichekesha wee Sasa tukaamua kuwaumbua
Ikiwa mnataka tuhamie za vijijin ndio mtaaibika Mara Saba
Stay turned

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umemueleza. Mtu anakimbilia kupiga picha hoteli ya watu utafikiri yeye hajalala kwenye nyumba!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hotel zipo vijin
Manake watu Wana héla ikiwa vijijin zipo hôtel za aina hiyo
Huko uhayan Hakuna hata duka lenye milion 5 manake Ni maskin Nan afungue biashara kwa hasara?
Uchagani ndipo mapesa yalipolala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo basi limefikaje huko halafu ni msiba au ndio kama kawaida kwenda kuhesabiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhesabiwa mkuu
Mabasi kama hayo kule uchagani ndio yenyewe mostly
Si unajua kampuni za mabasi tz nzima 55% zinamilikiwa n'a watu wa Kilimanjaro?
Check hapo chini ni basi la rombo to Arusha kilometa 90 tu check ngoma ilivyo utadhan ya dar mwanza
Hapo ni daraja la ungwasi vile vile
FB_IMG_15411699489477682.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom