Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hivi hawa jamaa mbona wanakaubaguzi fulani hivi! Sasa anasema Moshi ilikuwa Dora kamili na anasema ingeachwa, hajui kulikuwa na Dora za maana sana kuliko hiyo ya ukabila, nakupa Dora zilizokuwa zimeshiba Mkwawa (mkwava),
Huyu jamaa alitawala siyo wahehe tu.
Kuna kiboko mwingine anaitwa Mtemi Mirambo huyu alitawala sehemu kubwa sana pia alipigana vita nyingi sana.
Acheni ubaguzi wakikenya. Msituchafulie hali ya hewa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni mangi mkuu mareale akiwa ktk ikulu yake Moshi mwaka 1952 aliootembelewa na mtoto wa malkia Elizabeth
Mangi mareale alikuwa msomi wa masters kutoka Cambridge University
VP hao kina mirambo walikuwa na elimu gan?
FB_IMG_15465092686845742.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujidanganya kijana,hilo kanisa lingejenwa wakati huo lingekuwa kwenye historia ya ukristo Tanzania....,

Ukristo uliingia Tanganyika 1868 pale Bagamoyo na kujengwa kanisa la kwanza ukielekea Kaskazini mpaka Kilema 1880-85 palipo simikwa kanisa la pili then Kibosho 1892-93,baada ya hapo walijigawa wengine walitembea na reli ya kati mpaka Tabora ndipo walipotawanyika tena kuelekea lake zone hiyo ilikuwa 1900s....,sasa ukisema kanisa limejengwa 1892 ni uongo.

Ngoja niitafute hiyo historia ya kanisa kisha nii attach humu uone jinsi unavyopotosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kumuumbua huyu muongo, nilishamwambia ukatoliki ulianzia Kilimanjaro kabla ya kagera lkn anakuwa mbishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujidanganya kijana,hilo kanisa lingejenwa wakati huo lingekuwa kwenye historia ya ukristo Tanzania....,

Ukristo uliingia Tanganyika 1868 pale Bagamoyo na kujengwa kanisa la kwanza ukielekea Kaskazini mpaka Kilema 1880-85 palipo simikwa kanisa la pili then Kibosho 1892-93,baada ya hapo walijigawa wengine walitembea na reli ya kati mpaka Tabora ndipo walipotawanyika tena kuelekea lake zone hiyo ilikuwa 1900s....,sasa ukisema kanisa limejengwa 1892 ni uongo.

Ngoja niitafute hiyo historia ya kanisa kisha nii attach humu uone jinsi unavyopotosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ongea history ya ukristu Tanzania bila kuitaja bukoba

Kwanza seminary ya Kwanza tz Rubya
Seminary kuu ya Kwanza ya mtakatifu Leo Rubya
Mapadre wa kwanza tz wanatoka bukoba
Askofu wa kwanza mtanzania bukoba
Kardinali wa Kwanza mweusi duniani bukoba
Askofu mkuu wa kwanza balozi wa papa bukoba
Nadhani mpaka Pope WA Kwanza mweusi atatoka bukoba
Kumbuka bukoba ni white fathers waliotoka uganda hebu tazama hiyo picha uamini niliokwambia
Screenshot_20190130-143434.jpeg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Picha zoote ulizoweka hazijafikia hata nusu ya ubora wa mtaa wa majengo kwa mtei pâle moshi achilia mbali shirimatunda,Shanti town,kcmc au pasua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ulitoka kuhiji na unatuletea uongo hapa.kwanza huko mugana kuna majumba ya ajabu na pia uliona jinsi ukatoliki ulivyoshika haswa sio Kwa idadi Ile ya watu .mji wa bukoba unakauka gafla kisa imani Kwa bikira Maria

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu muungwana akivuliwa nguo huchutama,naona mzee kinusikwetu kakuvua nguo unaulizwa SEMA sehemu yoyote bk akujibu unakodoa kodo hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha zoote ulizoweka hazijafikia hata nusu ya ubora wa mtaa wa majengo kwa mtei pâle moshi achilia mbali shirimatunda,Shanti town,kcmc au pasua

Sent using Jamii Forums mobile app
Una ubavu gani wa kusema bukoba ni takataka wakati ina mitaa iliyojengeka .mtaa huu maarufu kama kyebitembe km 5 kutoka town unajengeka Kwa Kasi huku migheto ya maana ikiporomoshwa naomba uniletee mitaa ya moshi mi naleta nyamkazi,kashura,kibeta,anyama, kagondo kaifo na karugulu pamoja na kyakairabwa.hebu tazama migheto hapo kyebitembe
19.jpeg
4.jpeg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Una ubavu gani wa kusema bukoba ni takataka wakati ina mitaa iliyojengeka .mtaa huu maarufu kama kyebitembe km 5 kutoka town unajengeka Kwa Kasi huku migheto ya maana ikiporomoshwa naomba uniletee mitaa ya moshi mi naleta nyamkazi,kashura,kibeta,anyama, kagondo kaifo na karugulu pamoja na kyakairabwa.hebu tazama migheto hapo kyebitembeView attachment 1013128View attachment 1013129

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kwako hiyo ni migeto? Vinyumba visivyopakwa hata rangi? Kamtaa hako nakushindanisha na mtaa wa mwika pale Moshi vijijin maana nikikupa mtaa wa Moshi mjin itakuwa ni matusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom