Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Mkoa nzima wa kagera Hakuna jengo kama hili la Moshi
tapatalk_1549288738149.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tunapeana changamoto maana tumeona tunaweza kwenda sawa nyie tumewaacha mpaka mpate elimu kama Moshi na bukoba mkuu pole Sana. Mkipata elimu tutawakaribisha kwenye changamoto za maendeleo
Elimu ipi unazungumzia ???
unaweza kujikuta ww ndio kiazi hapa
...kama ndio elimu za kutambiana kwa staili mnayofanya hapa....basi tz ni shimo la wajinga
 
Wameingia kwenye 18 zetu mkuu waache tuwanyooshe hadi wakome
PichNi chini ni mangi mkuu mareale (masters holder) akiwa na mtoto wa Queen Elizabeth alipokutana nae ktk ikulu ya Moshi mwaka 1952View attachment 1013360

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfahamu huyu mtu? kardinali wa Kwanza mwafrica dunian.Alizaliwa 1912 huko kijijini Ratabo kamachumu Bukoba.alijiunga na seminary kongwe ya Rubya huko bukoba na kupadirishwa mwaka 1944 mwaka 1952 aliteuliwa kuwa askofu wa Kwanza mtanzania na 1960 Alitangazwa kuwa kardinali wa Kwanza mweusi.alikuwa na akili Sana na busara Sana . Alikuwa rafiki kipenzi wa john poul wa pili maana alimtangulia kuwa kardinali na alimleta tz.Alipofariki alizikwa Kwenye kanisa alilolijenga mwenyewe huko bukoba.ila alizikwa Kwa mda kwenye kanisa kongwe zaidi kashozi.cathedral ya bukoba ilivyokarabatiwa aliamishiwa na kuzikwa humo mwaka 2012 miaka kumi na tano baada ya kifo chake
Screenshot_20190203-233034.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkoa nzima wa kagera Hakuna jengo kama hili la Moshi
View attachment 1013374

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja wa kipekeee wa mpira mjini bukoba kaitaba stadium bukoba.uwanja WA tatu Kwa ubora tz .hivi wachaga mnajuaga hata mpira kweli.maana sijawahi sikia timu kutoka moshi.

Huku kagera sugar inaziumbisha timu za Simba na yanga na ni moja ya timu kubwa tano nchini all the time
1. Simba
2.Yanga
3.Azam
4.kagera sugar
5.mtibwa sugar
images%20(5).jpeg
3d4ec4b72fe1a305042235feee50a680.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 60 na 70 yalikuwepo mabasi makubwa aina ya Layland CD yakienda kwenye maeneo tajwa hapo na cha ajabu mengi yalikuwa yanamilikiwa na Umoja wa Akina Mama. Mfano ni UWT Kilema walikuwa na Layland iliyokuwa inatoka Kilema kwenda Moshi mjini kila siku.

Mwaka 1978 wakati wa vita basi hili lilichukuliwa na jeshi kupeleka askari Bukoba. Moshi ilirudi nyuma sana baada ya Uhuru.
Duuh so baada ya vita UWT bus lao halikurudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom