Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Kile chama noma sana.. wale Covid19 karibu wote walikuwa chakula za wakubwa. Lissu mwenyewe alikuwa na dada yake mbunge wa viti maalum. Dr Slaa alikuwa na ka-mchepuko kake mbunge viti maalum, Ndesamburo alikuwa na binti yake viti maalum.. baba lao Mbowe haina hata haja ya kujadili.
CCM ndiye baba wa siasa mkuu. Ndani ya CCM hakuna utawala wa kifalme. Akina Ridhwan, Fred Lowassa, Mama Salma Kikwete, January Makamba, Mizengo Pinda Jr, nk wamepita kwa juhudi binafsi. Hata huyu atapita kwa juhudi binafsi. Kwanza mtoto wa mhunzi kuwa mhunzi sio dhambi.
 
Wapo zaidi ya Brenda sasa sijajua huyu mleta mada kazitoa wapi japo lolote linawezekana ila ikiwa wataweka nia wengineo naiona familia ikibaki mjengoni
Kwani wewe akiongoza Brenda kinakuuma nini mkuu? Ukumbuke Brenda ni msomi mwenye shahada mbili. Usimdharau kamwe.
 
Hii sio hisani mkuu. Brenda anapewa jimbo kwa kuwa amejifunza mengi kutoka kwa baba yake.
Mkuu wangu sijasema ikiwa atapewa itakiwa kama hisani ila najaribu kusema kuwa utaratibu wote ufuatwe ili baadaye isiomekane alipewa kwakuwa baba ilikuwa hvi mara vile .

Ila zaidi katika familia ile naona wameamua Brenda alinde kiti cha mzee ikiwa ni kweli japo wapo wengi ambao ni zaidi ya Brenda na ni vichwa haswa hivyo hata asipokuwa yeye sioni dalili ya kusema wakikitaka kiti watakikosa maana sifa wanazo
 
Kwani wewe akiongoza Brenda kinakuuma nini mkuu? Ukumbuke Brenda ni msomi mwenye shahada mbili. Usimdharau kamwe.
Kaka hainiumi chochote na sijasema inaniuma ila naendelea kusisitiza kwenye utaratibu kufuatwa kama ilivyo kuwa Peramiho .
Simdharau mdogo wangu yule ila najaribu kusema kwa upamde wa siasa sidhani kama anaweza kuwa mzuri kuliko nduguze
 
Watampiga chino mark my words
1774718550763.jpg
 
Uramaduni gani? Ni lini CCM watu wamepiga kura na maamuzi yao yakaheshimiwa?
Kamati kuu ndio inayompa mtu ubunge ndani ya CCM! Kura za maoni ni kiini macho tuu.
Kwa hiyo unataka kusema Brenda hafai au unasema nn mkuu?
 
Mkuu wangu sijasema ikiwa atapewa itakiwa kama hisani ila najaribu kusema kuwa utaratibu wote ufuatwe ili baadaye isiomekane alipewa kwakuwa baba ilikuwa hvi mara vile .

Ila zaidi katika familia ile naona wameamua Brenda alinde kiti cha mzee ikiwa ni kweli japo wapo wengi ambao ni zaidi ya Brenda na ni vichwa haswa hivyo hata asipokuwa yeye sioni dalili ya kusema wakikitaka kiti watakikosa maana sifa wanazo
Sawa mkuu. Kwanza watoto wake wakipata uongozi itakuwa ni njia mojawapo ya kuifuta jasho familia. Itapendeza sana.
 
Kaka hainiumi chochote na sijasema inaniuma ila naendelea kusisitiza kwenye utaratibu kufuatwa kama ilivyo kuwa Peramiho .
Simdharau mdogo wangu yule ila najaribu kusema kwa upamde wa siasa sidhani kama anaweza kuwa mzuri kuliko nduguze
Kule Peramiho hawakutenda haki. Mtoto wa Jenista alishinda lakini CCM wakampiga chini kimizengwe. Ndani ya CCM kuna mijitu yenye roho mbaya sana.
 
Back
Top Bottom