Huyu saivi amekoma baada ya mtu wake alompigia chapuo kwenye msiba mbinga uko kupigwa chini(kukatwa).Kwani zungu spika anasemaje?
Huyu saivi amekoma baada ya mtu wake alompigia chapuo kwenye msiba mbinga uko kupigwa chini(kukatwa).Kwani zungu spika anasemaje?
Ridhiwani kikwete ana uwezo ganiNi Brenda Rupia au Brenda Lukuvi? Kama ana sifa za kuwa mbunge apitie mchakato ndani ya chama akibahatika apeperushe bendera. Ila kutaka kulazimisha apewe ubunge sio sahihi. CCM sio chama cha kifalme.
na yuleAna shahada mbili
na yule mtoto wa magufuli anayeongea kama anaimba ana uwezo ganiAna shahada mbili
apewe Lucas MwashambwaJimbo hilo apewe Eng. SEBASTIAN KIYOYO, mtu mwenye akili timamu. Msomi, Mchapakazi na mwenye maono.
Ridhiwani ana uwezo wa kutosha. Kaanzia chipukizi UVCCM na hana elimu ya kuunga unga. Kapiga Mkwawa High school, UDSM na law school.Ridhiwani kikwete ana uwezo gani
MsalitiHii mada imeanzishwa na mkuu 'tpaul'?
Tanzania kamwe haitaepuka maajabu; hasa tukiwa chini ya himaya ya kundi hili la watu waovu!
Hakuna litakalozuia kuiondoa Tanzania katika uduni huu.
Law school ilianzishwa akiwa keshamaliza udsmRidhiwani ana uwezo wa kutosha. Kaanzia chipukizi UVCCM na hana elimu ya kuunga unga. Kapiga Mkwawa High school, UDSM na law school.
Naunga mkono hojaKatika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30 (1995-2026) kabla mbunge huyo nguli wa CCM kufariki dunia mwanzoni wa mwezi Machi, 2026.View attachment 3564064
"Kwa kuzingatia utamaduni wa chama chetu, kamati ya ushauri inapendekeza Brenda Lukuvi achukue fomu na kuendelea kuliongoza jimbo la Isimani amalizie kazi nzuri iliyofanywa na baba yake", alisema kigogo mmoja wa CCM kutoka Isimani ambaye hakupenda kuweka jina lake hadharani.
Mh Brenda Lukuvi (mbunge wa Isimani ajaye)
MAONI YANGU
Mimi nashauri binti huyu akabidhiwe jimbo. Kwa kuwa baba yake amelifanyia mambo makubwa jimbo la Isimani, sioni sababu ya mtu mwingine kushika kijiti cha baba yake. Naunga mkono chama cha mapinduzi jimbo la Isimani kupendekeza jina la Brenda kuongoza jimbo la Isimani. Kwanza huyu ni msomi na amejifunza mambo mengi kutoka kwa baba yake. Namuunga mkono hoja 💯%.
Umeona kwa Ridhiwani pagumu kujengea hoja umekuja na jina la mtoto wa JPM? Acha chuki za kikuda.Law school ilianzishwa akiwa keshamaliza udsm
Yule mtoto wa JPM ana uwezo gani
Niwe na chuki na mafisadiUmeona kwa Ridhiwani pagumu kujengea hoja umekuja na jina la mtoto wa JPM? Acha chuki za kikuda.
Yes. Atakuwa amepanda cheo aisee!
Hata mama Salma Kikwete ana uwezo wa kutosha pia mkuu. Alikuwa mwalimu mwandamizi wa shule ya msingi.Ridhiwani ana uwezo wa kutosha. Kaanzia chipukizi UVCCM na hana elimu ya kuunga unga. Kapiga Mkwawa High school, UDSM na law school.
Jimbo tunampa Brenda kwanza; akichemka, tunampa MamaSamia2025 au Lucas MwashambwaKwanini usipewe wewe jimbo mkuu,ndugu yang
Ninaisikitikia sana Tanzania yetu hii, mkuu wangu 'tpaul' kwa mwelekeo huu tunaoenda nao sasa hivi.Yeah. Nimeanzisha mimi tpaul mkuu. Nikiwa mwanaIsimani mwandandamizi, nampigia chapuo Brenda kupokea kijiti cha babaye.
Ya nini kuhangaika na wote hao wakati nafasi hiyo inakufaa sana wewe, mkuu 'tpaul'?Jimbo tunampa Brenda kwanza; akichemka, tunampa MamaSamia2025 au Lucas Mwashambwa