Nafkiri waandamanaji walisahau kwamba wapo Afrika. Afrika sio bara la ustaarabu. Ukiamua kukinusha unatakiwa uwe umejipanga kila idara.Ndo maana wanatuua tukiandamana
Nafkiri waandamanaji walisahau kwamba wapo Afrika. Afrika sio bara la ustaarabu. Ukiamua kukinusha unatakiwa uwe umejipanga kila idara.Ndo maana wanatuua tukiandamana
Chakula hiyo...Duh
Ova
Mbona haukufa?Ndo maana wanatuua tukiandamana
Hicho chama kina mambo ya hovyo mno.Kuna mtu mmoja kakimbilia g55, kabla yake alikuwa kule demoghasia na alikuwa na ka covid tena kakutoka kanda maalumu, sasa kaacha kale ka covid na kaoa majuzi mwana g55 mwenzake
Hii vita naisubiri kwa hamu yaani ni mwendo wa kuuana!
Unawajua watu wanaitwa BAVICHAA KUINS? ambao kwenye matukio ya demoghasia huwa wamekaa viti vya mbele wamevaa vibana msuli..aisee wale neno "haiwezekani au hapana" hiyo ni dhambi.
Hivi wanagombea au wanateuliwa?Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30 (1995-2006) kabla mbunge huyo nguli wa CCM kufariki dunia mwanzoni wa mwezi Machi, 2006.View attachment 3564064
"Kwa kuzingatia utamaduni wa chama chetu, kamati ya ushauri inapendekeza Brenda Lukuvi achukue fomu na kuendelea kuliongoza jimbo la Isimani amalizie kazi nzuri iliyofanywa na baba yake", alisema kigogo mmoja wa CCM kutoka Isimani ambaye hakupenda kuweka jina lake hadharani.
Mh Brenda Lukuvi (mbunge wa Isimani ajaye)
MAONI YANGU
Mimi nashauri binti huyu akabidhiwe jimbo. Kwa kuwa baba yake amelifanyia mambo makubwa jimbo la Isimani, sioni sababu ya mtu mwingine kushika kijiti cha baba yake. Naunga mkono chama cha mapinduzi jimbo la Isimani kupendekeza jina la Brenda kuongoza jimbo la Isimani. Kwanza huyu ni msomi na amejifunza mambo mengi kutoka kwa baba yake. Namuunga mkono 💯%.
Kumbe jamaa kafa zamani hivi,mwanzoni mwa march 2006?Huyu aliyekufa march hii 2026 ni msukule wake?Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30 (1995-2006) kabla mbunge huyo nguli wa CCM kufariki dunia mwanzoni wa mwezi Machi, 2006.View attachment 3564064
"Kwa kuzingatia utamaduni wa chama chetu, kamati ya ushauri inapendekeza Brenda Lukuvi achukue fomu na kuendelea kuliongoza jimbo la Isimani amalizie kazi nzuri iliyofanywa na baba yake", alisema kigogo mmoja wa CCM kutoka Isimani ambaye hakupenda kuweka jina lake hadharani.
Mh Brenda Lukuvi (mbunge wa Isimani ajaye)
MAONI YANGU
Mimi nashauri binti huyu akabidhiwe jimbo. Kwa kuwa baba yake amelifanyia mambo makubwa jimbo la Isimani, sioni sababu ya mtu mwingine kushika kijiti cha baba yake. Naunga mkono chama cha mapinduzi jimbo la Isimani kupendekeza jina la Brenda kuongoza jimbo la Isimani. Kwanza huyu ni msomi na amejifunza mambo mengi kutoka kwa baba yake. Namuunga mkono 💯%.
Kumbe hata wewe umeona mkuu?🤣😂🤣😂Hakika upo sahihi ikizingatiwa baba yake alianza kutumikia chama cha TANU tangu mwaka 1954 akiwa kwenye korodani za mzee wake.
Inakuwaje mtu aliezaliwa 1955 ajiunge na TANU 1954.
Kwamba alianza siasa akiwa tumboni mwa mama yake?
Ukute Wasira hata hajui anamuongelea nani hapo.
CCM wampumzishe huyu mzee kabla hajajidhalilisha zaidi. Inatosha sasa.
Uramaduni gani? Ni lini CCM watu wamepiga kura na maamuzi yao yakaheshimiwa?Wewe unasema hayo kama nani? Unataka kuharibu utamaduni wa chama?
We si hunaga akili lazima uunge mkono mambo ya kipuuzi, kwani hakuna wana Isimani wengine wenye uwezo zaidi ya hiyo familia moja ya Lukuvi...halafu huo sio utawala wa kifalme kwamba lazima mtoto arithi nafasi ya baba!.Naunga Mkono hoja.
Wapo zaidi ya Brenda sasa sijajua huyu mleta mada kazitoa wapi japo lolote linawezekana ila ikiwa wataweka nia wengineo naiona familia ikibaki mjengoni1. Mbona hii familia ina watoto makini sana zaidi ya huyu brenda...
Sema tu watu hawaijui hii familia
2. Mchakato ufuatwe ili kupata mbunge wa hili jimbo (nasema hili jimbo) maana kupitia mzee lukuvi nilijikuta nakuwa kama mzaliwa wa hapa..kumbe natoka mbali!