Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Mchakato ufuatwe akikidhi vigezo na hatua zote apewe jimbo ila isiwe kama hisani.
Naamini hilo litafanyika yuko wapi mdogo wangu Victor ?
Umechelewa sana, mchakato upi ufwatwe au hujui kuna mikataba ya kurithishana vyeo kama mashamba huko CCM🙂. Hutaamini ila mtoto lazma ang'ae mjengoni huyo.
 
Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30 (1995-2006) kabla mbunge huyo nguli wa CCM kufariki dunia mwanzoni wa mwezi Machi, 2006.

"Kwa kuzingatia utamaduni wa chama chetu, kamati ya ushauri inapendekeza Brenda Lukuvi achukue fomu na kuendelea kuliongoza jimbo la Isimani amalizie kazi nzuri iliyofanywa na baba yake", alisema kigogo mmoja wa CCM kutoka Isimani ambaye hakupenda kuweka jina lake hadharani.
View attachment 3564064
Mh Brenda Lukuvi (mbunge wa Isimani ajaye)

MAONI YANGU
Mimi nashauri binti huyu akabidhiwe jimbo. Kwa kuwa baba yake amelifanyia mambo makubwa jimbo la Isimani, sioni sababu ya mtu mwingine kushika kijiti cha baba yake. Naunga mkono chama cha mapinduzi jimbo la Isimani kupendekeza jina la Brenda kuongoza jimbo la Isimani. Kwanza huyu ni msomi na amejifunza mambo mengi kutoka kwa baba yake. Namuunga mkono 💯%.
Wanaenda kumbato binti ya mwenzao.
 
Apewe jimbo kisa ni mweupe? Kweli wewe ni #@&@&#

Haya mambo yaliletwa na mkwere yani alirahisisha uongozi wa nchi kuwa kama kucheza sindimba tu, tu yani kigezo ni kuwa na k au kuwa na undugu na aliyepo madarakani tu unapewa tu hovyohovyo ndo maana quality ya uongozi ilipotea tukabaki takataka tu, inakera sana meritocracy ikaenda na awamu Mkapa, kutoka hapa tena ni kazi kubwa kwa msisitizo wa maombi tulionao

Wanaweza wakampa tu wala usijeshangaa mkuu, kwa fadhila za baba na mamaduro
 
Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia wapigakura wa jimbo la Isimani. Jimbo hili limekuwa likishikiliwa na baba yake kwa zaidi ya miaka 30 (1995-2006) kabla mbunge huyo nguli wa CCM kufariki dunia mwanzoni wa mwezi Machi, 2006.

"Kwa kuzingatia utamaduni wa chama chetu, kamati ya ushauri inapendekeza Brenda Lukuvi achukue fomu na kuendelea kuliongoza jimbo la Isimani amalizie kazi nzuri iliyofanywa na baba yake", alisema kigogo mmoja wa CCM kutoka Isimani ambaye hakupenda kuweka jina lake hadharani.
View attachment 3564064
Mh Brenda Lukuvi (mbunge wa Isimani ajaye)

MAONI YANGU
Mimi nashauri binti huyu akabidhiwe jimbo. Kwa kuwa baba yake amelifanyia mambo makubwa jimbo la Isimani, sioni sababu ya mtu mwingine kushika kijiti cha baba yake. Naunga mkono chama cha mapinduzi jimbo la Isimani kupendekeza jina la Brenda kuongoza jimbo la Isimani. Kwanza huyu ni msomi na amejifunza mambo mengi kutoka kwa baba yake. Namuunga mkono 💯%.
Gentleman,
ingawa kwa mujibu wa katiba ya nchi na hata ile ya chama cha mapinduzi ni mapema mno kwa mchakato huo kuanza, but maoni na mapendekezo ya huyo kigogo si mabaya endapo kwa wakati muafaka, mtajwa atawajibika kuonyesha nia na hatimae kupitia michakato ya chama, mi nadhani akipitishwa anafaa kua mbunge sawa na wana ccm wengine tu pale Isimani.
 
Back
Top Bottom