Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

Hii mada imeanzishwa na mkuu 'tpaul'?

Tanzania kamwe haitaepuka maajabu; hasa tukiwa chini ya himaya ya kundi hili la watu waovu!

Hakuna litakalozuia kuiondoa Tanzania katika uduni huu.
 
Huwezi linganisha Brenda na Eng. Sebastian Kiyoyo kwa elimu, uzoefu wa kazi, uchapakazi, utu na charisma. Huyo Engineer Kiyoyo tumefanya nae kazi, tunamfahamu kiutendaji na kiweledi.
Asubiri kwanza. Safari hii tunaenda na Brenda. Huyo Injinia familia yake ipo kwenye uongozi? Basi hatufai.
 
Watu wa Isimani watakuwa ni Matraakwo kweli kweli!!! Hilo jimbo kama vipi liitwe Lukuvi tuelewe moja.
Usiwe na roho mbaya mkuu. Mbona kule bungeni zimejaa familia za viongozi lakini bunge halijawahi kubadilishwa jina. Kwa mfano, bungeni kumejaa familia ya Kikwete. Mbona halijawahi kuitwa bunge la Kikwete? Acha roho mbaya mkuu. Brenda anafaa kutuwakilisha wana wa Isiman. Ana shahada mbili na amejifunza mengi kutoka kwa baba yake.
 
Nlifikaga hko 2005 dah palikuwa nyuma sana sikupaelewa kabisa
Mwenye kideo cha kulivyo sahv atuweke Labda wamepiga hatua

Ova
Brenda ataendeleza kuanzia pale alipoishia baba yake mkuu. Maendeleo hayana chama.
 
Hii mada imeanzishwa na mkuu 'tpaul'?

Tanzania kamwe haitaepuka maajabu; hasa tukiwa chini ya himaya ya kundi hili la watu waovu!

Hakuna litakalozuia kuiondoa Tanzania katika uduni huu.
Yeah. Nimeanzisha mimi tpaul mkuu. Nikiwa mwanaIsimani mwandandamizi, nampigia chapuo Brenda kupokea kijiti cha babaye.
 
Back
Top Bottom