Kulingana na raia mwema, Ballali alikuwa anaumwa kwa muda mrefu na kutibiwa hata huko SA. Sasa hii sumu ilianza lini? Report ya raia mwema ni kama hapa chini:
"Serikali kwa kawaida haiwezi kuzungumzia ugonjwa wa mtu bila ridhaa kwanza ya familia, na familia ndiyo inayoweza kutoa taarifa ama kuiomba Serikali itoe taarifa kwa kushirikiana nayo, na hili la Ballali ni katika mantiki hiyo," alisema ofisa mmoja mwandamizi wa Serikali.
Ofisa huyo alisema Ballali amekuwa akiumwa kwa muda mrefu sasa japo amekuwa akipata matibabu ndani na nje ya nchi na kwamba kabla ya kwenda Marekani aliwahi kutibiwa nchini Afrika Kusini.
"Serikali kwa kawaida haiwezi kuzungumzia ugonjwa wa mtu bila ridhaa kwanza ya familia, na familia ndiyo inayoweza kutoa taarifa ama kuiomba Serikali itoe taarifa kwa kushirikiana nayo, na hili la Ballali ni katika mantiki hiyo," alisema ofisa mmoja mwandamizi wa Serikali.
Ofisa huyo alisema Ballali amekuwa akiumwa kwa muda mrefu sasa japo amekuwa akipata matibabu ndani na nje ya nchi na kwamba kabla ya kwenda Marekani aliwahi kutibiwa nchini Afrika Kusini.