TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,268
- 27,936
Daladala kidogo imenikosha mimi mpezi wa Movie 'cartoon'
Eti kubwa la majambazi linammaindi jambazi mdogo "unajam** ndani ya camp???, hebu muueni huyo"
wala ni aliyecheza kama binti wakati mama yake ni kijana na wala hakuwa teja! Yaani ni mbaya mno!sasa kama mtoto ni teja halafu wazazi wake wanajisopusopu unategemea nini..!?
Kila anayetoa habari za maisha yake ya nyuma lazima anyanyue uso juu kisha wanamzoom macho.
kuna milio special hiyo mtu akifumaniwa utaski ngengeee au jini/mchawi ukija utaskia fyuuuuuuuuuu.... watu wakipigana( shwaa shwaaa au dushh dushh)
Eti jini linapigana na binadam Wa kawaida na linapigwa dam zinatoka