teh teh teh....tutafika tuSababu ya kuigiza kwenye nyumba za watu, jambazi anavua viatu ndio anaingia kufanya ubaradhuli.
dah nimecheka sana!.....au lazima asogee dirishaniKila anayetoa habari za maisha yake ya nyuma lazima anyanyue uso juu kisha wanamzoom macho.
hahahaaaaaaMwanamke amelala kapaka lip shine na makeup
halaf aliyeko jela lzm awe ameshkilia madirisha ya chuma huku anasikitikaGereza ni nyumba ya mtu yenye madirisha ya chuma kama geti fulani hv. Mshajua na maanisha nini
hahahaaa....familia za kifahari...gari tunaoneshwa linavotoka au kuingia getini!linakokwenda au kutoka cjuiMjin usiku kijijin mchana....
Kila anayetoa habari za maisha yake ya nyuma lazima anyanyue uso juu kisha wanamzoom macho.
na ile ya kupaka mdomoni anayo,afu utasikia kidhungu,oke na anyway nyjngi kweli!
Mwizi anavua viatu ilia asichafue kapeti.
Nalog off
Yaani full miyayusho.Teh teh teh teh teh teh