Alafu knacho nikera zaidi movie ya saa1:30 wanafosi iwe na party two wakat ni story moja na bora ingekuwa ndefu ndio wafanye hivyo ..wanaonesha vitu ambavyo havina umuhimu kulingana story husika, utakuta character anatembea kutoka ubungo hadi kariakoo au /baar/party/mapenzi/etc kwa dk kibao .(alafu part two inaanzia ilipoishia part one) toka nizaliwe sijawahi ona mzungu/muhindi/mchina/ movie ikawa hivi...tena mda mwingine star/adui/washiriki pamoja na story inabadilika kidogo ili kuendeleza utamu wa jana ..sio kuendeleza pale alipo vunja glass(mbongo) mda mwingine anabalika kwa sababu kila part ni story kamili labda iwe series na mfano mzuri anold(teminator 1 hadi 3) ,mfano wa bongo DOUBLE J 1,2,3,FINAL 1&2)