Bongo movies...

Bongo movies...

kwel, tena lazma awe na koti af kamnyeso pemben, heshima debe
 
Gari km inatolew inaonyeshw wakat anapanda hadi anaposhukia
 
Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.

That is why I do not waste my money and precious time on Bongo Movies
 
Nyumba nzuri wausika wanaonekana wamechoka mfn majuto kwenye move ya shikamoo mzee
 
Mto katoka usingizini laki weve kichwani limesimama kweli (kwa wanaume) kwa wanawake powder imechachama usoni.
 
Watu wanaonekana wapo chumbani hawana mtoto nje utasikia wenye nyumba mlete mtoto anyonye!!
 
akipigwa ngumi anaangalia pa kuangukia kwa usalama wake asijeumia. milio ya risasi kama unawasha njiti za kibiriti

Ha ha haaaaaaaaaa jamani maneno yenu na mbavu zangu mwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom