Bongo movies...

Bongo movies...

Asrams nipe ushauri pliiz,nmevurugwa na dem af sina kitu,hapa napga komoni na masela au soo?
 
Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.

Katika mapambano unaweza kuzuia risasi kwa viti au meza za plastiki, pia mtanga ni lazima awe mlinzi. Na hata jini ni lazima awe mwanamke.
 
Mmmmmmh basi kazi ipo! Ok nilikuwa nikipita tu endeleeni na mambo yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom