Hilo ndo la msingi
Nitarudi baadae,Kilicho Bora ni kipi
Kilicho bora sio pikipiki... wala gari... nikumtoa out kwa ndege kama GSM wa katoro baby..Sawa
Kwa nyakati hizi zenu, gari sio anasa tena, ni hitaji la muhimuGari hata kama ndogo au mbaya Ina umuhimu wake 😝
😂😂😂 tuta perform chini ya kiwango wote, si tutakua tumechoka Pa1.😅😅😅😅😅 Mpaka huko wapo?
Kumbe ni nchi nzima.
Sasa ukifika si utakuwa umechoka sana 😝
Hutaweza ku perform vizuri
Kosa ni langu kutokuwa makini na nguo ndefu,wanaosuka Rasta Hadi magotini wakipanda boda zikinaza🙌Ungemwambia akurudishie 😝
Uzuri suruali ni lazima 😁itangulizwe ndani😁Sasa ulifanyaje baada ya hapo 😅😅😅
Hapa umebugi! Ungekuwa Dar, usingetoa kauli hiyo. Kuna wakati wa kwenda Airport na foleni imebana. Utaikwea tena kwa kumshukuru Mungu kwa kuipata hiyo bodaboda. Mifano ni mingi sanaAchana na date.
Mimi hata kwa usafiri wa kawaida tu sijawahi na nafikiri sitapanda bodaboda.
Bora hata Bajaji.
Iwe Kwa, miguu,baiskeli, pikipiki,ngamia gari vyovyote vile,,inategemea na uwezo wangu ndio maana tunaambiwa tujikune tunapofikia,,hata mpenzi au mke namchagua wa level zangu Mambo yasiwe mengi full stopNimekutana na utani mwingi huko Tiktok unaosema kuwa
“Unatoka out na mpenzi wako afu mnapanda bodaboda? Sasa io ni out au delivery mwanetu????" 😂
View attachment 3642089
Kwa mimi ninavyoelewa Boda boda au Pikipiki ni usafiri wa abiria wenye gharama nafuu kama 3k-5k.
Na wengine hutumia usafiri huo kwenda nao kazini na katika shughuli nyinginezo.
Usafiri huu wakati mwingine una kadhia nyingi mfano mnaweza kuloa na mvua, vumbi, na kuchomwa na jua. Hakuna AC, hakuna privacy.
Mnafikia destination mkiwa na macho mekundu na nywele zimeharibika. Sio gari, sio Uber, ni usafiri wa mwananchi wa kawaida kabisa.
Sasa hapa ndipo ugomvi unapoanzia:
Timu ya "Hii ni Delivery tu"
Wanasema out ina hadhi yake. Inatakiwa iwe na mipango, gari, restaurant, na kumpa mwanamke wako “privacy”.
Wanasema kutoka out na boda ni sawa na ku-order food, si date.
Timu ya "Out ni nia, sio gari”
Wanasema Upendo unapimwa na muda na malengo, sio na gari wala tax.Kuna watu walioanza na boda boda leo wana nyumba na magari.
Wanaongeza kuwa kama mnaelewana kweli hata usafiri waboda boda utakuwa kumbukumbu tamu. Kumpa mtu shida ya gharama kila mara ndio kunaua uhusiano.
Swali
1. Vigezo vya "Out" kwako ni nini?
2. Kama mpenzi anakualika "twende out" kwa usafiri wa boda boda utaenda au utagoma?
3. Wanaume unaweza kumchukua malkia wako kwa kutumia usafiri wa boda boda bila kujisikia vibaya?View attachment 3642087
Nimebugi wapi? Kukataa ujinga ni kubugi?Hapa umebugi! Ungekuwa Dar, usingetoa kauli hiyo. Kuna wakati wa kwenda Airport na foleni imebana. Utaikwea tena kwa kumshukuru Mungu kwa kuipata hiyo bodaboda. Mifano ni mingi sana
Kama hauishi Dar, hapo sawa ila kwa mtu anayeishi Dar, Bodaboda huwezi kuikwepa!!!!!Nimebugi wapi? Kukataa ujinga ni kubugi?
Ndiyo maana sipo Dar. Hayo ndiyo mambo niliyokataa. Huelewi wapi?
Hahahahaaa... wapi location....?Fanya hivo haraka sana.