BodaBoda date-out or delivery?

BodaBoda date-out or delivery?

Sio mbaya, hata mkipanda punda si mtafika huko nmnakoenda (outing) na kipenzi chako ?

For me hii sio shida kabisa, mnaweza hata kutembea pia ! Tatzo watu wamekariri, na pia outing sio lazima iwe five star 🌟.... ni popote pale unapohisi mpz wako ataenjoy pia kulingana na budget yako
 
"Kupitia mada zako napata picha we ni mwanamke wa aina gani" kuna mlevi atakuja kucomment hivi tuwe wapole tu.
 
Sio mbaya, hata mkipanda punda si mtafika huko nmnakoenda (outing) na kipenzi chako ?

For me hii sio shida kabisa, mnaweza hata kutembea pia ! Tatzo watu wamekariri, na pia outing sio lazima iwe five star 🌟.... ni popote pale unapohisi mpz wako ataenjoy pia kulingana na budget yako
Ni kweli kabisa Kitalembwa.😛
 
Mkuu,

Hapo mwisho mengine tunamezea kwa uzalendo tu.

Unajua tena nyumbani ni nyumbani tu na kuna ukweli fulani ukiusema unaweza kuonekana unatukana watu.
😆😆 Naam ni kweli mkuu nakuelewa sana
 
Nimekutana na utani mwingi huko Tiktok unaosema kuwa

“Unatoka out na mpenzi wako afu mnapanda bodaboda? Sasa io ni out au delivery mwanetu????" 😂
View attachment 3642089

Kwa mimi ninavyoelewa Boda boda au Pikipiki ni usafiri wa abiria wenye gharama nafuu kama 3k-5k.

Na wengine hutumia usafiri huo kwenda nao kazini na katika shughuli nyinginezo.

Usafiri huu wakati mwingine una kadhia nyingi mfano mnaweza kuloa na mvua, vumbi, na kuchomwa na jua. Hakuna AC, hakuna privacy.

Mnafikia destination mkiwa na macho mekundu na nywele zimeharibika. Sio gari, sio Uber, ni usafiri wa mwananchi wa kawaida kabisa.

Sasa hapa ndipo ugomvi unapoanzia:

Timu ya "Hii ni Delivery tu"

Wanasema out ina hadhi yake. Inatakiwa iwe na mipango, gari, restaurant, na kumpa mwanamke wako “privacy”.

Wanasema kutoka out na boda ni sawa na ku-order food, si date.


Timu ya "Out ni nia, sio gari”
Wanasema Upendo unapimwa na muda na malengo, sio na gari wala tax.Kuna watu walioanza na boda boda leo wana nyumba na magari.

Wanaongeza kuwa kama mnaelewana kweli hata usafiri waboda boda utakuwa kumbukumbu tamu. Kumpa mtu shida ya gharama kila mara ndio kunaua uhusiano.

Swali
1. Vigezo vya "Out" kwako ni nini?

2. Kama mpenzi anakualika "twende out" kwa usafiri wa boda boda utaenda au utagoma?

3. Wanaume unaweza kumchukua malkia wako kwa kutumia usafiri wa boda boda bila kujisikia vibaya?View attachment 3642087
Mimi tunapiga mguu, ukichoka na kubeba mgongoni na mimi niki choka unanibeba mgongoni.
 
Back
Top Bottom