BodaBoda date-out or delivery?

BodaBoda date-out or delivery?

Kwa suala la usalama boda boda hapana Kwa kweli , Bora hata upate ajali then ufe unaweza kupata ajali kufa haufi ukaishia kukatwa mguu au ukapatwa na stroke ya kudumu ukaishia kuishi kwenye mateso mazito maisha Yako yote

Eti Kuna jasho Kwa watanzania 😆😆🙌
Mkuu,

Hapo mwisho mengine tunamezea kwa uzalendo tu.

Unajua tena nyumbani ni nyumbani tu na kuna ukweli fulani ukiusema unaweza kuonekana unatukana watu.
 
Tunazipanda na hamtuambii kitu, kila mtu kwa urefu wa kamba yake, wa boda apande, wa bajaj nae na mwenye uwezo wa kiyoyozi nae apande, muhimu tumetoka date, tumekula tukashiba halafu tukaenda kula...

Wa kiyoyozi nae kala halafu akaenda kula...ngoma droo!
Mzee wa busara.
Heshima Yako 😝
 
Kama Mo alipanda boda awahi kikao(alishachelewa), ERoni ni nani, yaani mkidis bodaboda mjue mnaigusa jamii kubwa sana ya watanzania.

Wengi hapa sio wa date-out, ni delivery kama ilivyo hoja ya mleta mada!!😅😅😅
 
Back
Top Bottom