BodaBoda date-out or delivery?

BodaBoda date-out or delivery?

Tatizo wadada mnendekeza sana njaa.
Hivi mkiwa kule vijijini kwenu hizo outing huwa mnapanda usafiri gani?
Au wanawake wa JF wote mko daslam?
Njaa inaingiaje kwenye usafiri?
Vijijini Kuna out gani?
 
Njaa inaingiaje kwenye usafiri?
Vijijini Kuna out gani?
Sasa kama sio njaa unataka mtu aite bolt na ukitoka peke yako una print si ni njaa hizo.

Outing ziko kila mahali kulinga na mazingira na uwezo. Kule kijijini unatoka na mtoto mnaenda kando ya mto Mna enjoy sana maana hakuna ku fake.
 
Sasa kama sio njaa unataka mtu aite bolt na ukitoka peke yako una print si ni njaa hizo.

Outing ziko kila mahali kulinga na mazingira na uwezo. Kule kijijini unatoka na mtoto mnaenda kando ya mto Mna enjoy sana maana hakuna ku fake.
Sijui wanaofake.

Unafake Ili wewe uumie au nani aumie?

Kijijini nani Yuko huko Sasa hivi?
 
Sijui wanaofake.

Unafake Ili wewe uumie au nani aumie?

Kijijini nani Yuko huko Sasa hivi?
Kwa hiyo huko vijijini hakuna watu? Wote mko mjini eti?
Kama unajijua mizunguko yako kila siku ni ku print au boda, halafu ukipewa outing unataka bolt una FAKE.

Maana kama una uwezo wa gari utatumia lako hutalalamika kuhusu usafiri.
 
Nakumbuka siku moja nawahi Airport, foleni imekaza. Dereva aliniambia, boss huna ujanja, Chukua BODA. Huwezi amini nisingechukua ushauri wa Dereva, ndege ingaliniacha. Imagine koti na tai na lisanduku katika bodaboda! Tuyaache yamepita
 
Nakumbuka siku moja nawahi Airport, foleni imekaza. Dereva aliniambia, boss huna ujanja, Chukua BODA. Huwezi amini nisingechukua ushauri wa Dereva, ndege ingaliniacha. Imagine koti na tai na lisanduku katika bodaboda! Tuyaache yamepita
Pole sana jamani
 
Kwa hiyo huko vijijini hakuna watu? Wote mko mjini eti?
Kama unajijua mizunguko yako kila siku ni ku print au boda, halafu ukipewa outing unataka bolt una FAKE.

Maana kama una uwezo wa gari utatumia lako hutalalamika kuhusu usafiri.
Shikilia hapo hapo.
Sisi wengine hatuko kijijini.
 
Mimi natumia, nazingumzia kwa hawa wenzetu wanaosema hawawezi kupanda boda
Mimi sijawahi kupanda bodaboda. Naziogopa. Natumia gari,bajaj,daladala au natembea kwa miguu. Wengi hasa mjini wanapanda bodaboda kwasababu HAWAPENDI daladala na hawana hela ya Bolt na wengine uvivu tu. Mtu anaenda umbali wa 500m au 2km hataki kutembea anarukia bodaboda. Mtu anatoka/anaenda kituo cha daladala hakifiki hata 1km anapanda bodaboda, sometimes ni mazoea tu wala sio ulazima.
 
Mimi sijawahi kupanda bodaboda. Naziogopa. Natumia gari,bajaj,daladala au natembea kwa miguu. Wengi hasa mjini wanapanda bodaboda kwasababu HAWAPENDI daladala na hawana hela ya Bolt na wengine uvivu tu. Mtu anaenda umbali wa 500m au 2km hataki kutembea anarukia bodaboda. Mtu anatoka/anaenda kituo cha daladala hakifiki hata 1km anapanda bodaboda, sometimes ni mazoea tu wala sio ulazima.
Tena wakati nasema hivi nilikuwa nakufikiria wewe niliwahi kuona umesema mahali kuwa kamwe huwezi kupanda boda. Ni kweli wengi wanajiendekeza tu ila kuna sehemu bila kupanda boda hutoboi
 
Tena wakati nasema hivi nilikuwa nakufikiria wewe niliwahi kuona umesema mahali kuwa kamwe huwezi kupanda boda. Ni kweli wengi wanajiendekeza tu ila kuna sehemu bila kupanda boda hutoboi
Tatizo Wabongo mtu ukisema huwezi kupanda bodaboda wanaona kama unajikweza. Sipandi bodaboda kwasababu naziogopa pia nina option ya gari,daladala,bajaj. Siku nikiwa kwenye situation between death and bodaboda nitapanda bodaboda. Ila sijui naenda kariakoo au nishuke kwenye daladala nipamde bodabpda kutoka kituoni hadi nyumbani,NEVER.
 
Tatizo Wabongo mtu ukisema huwezi kupanda bodaboda wanaona kama unajikweza. Sipandi bodaboda kwasababu naziogopa pia nina option ya gari,daladala,bajaj. Siku nikiwa kwenye situation between death and bodaboda nitapanda bodaboda. Ila sijui naenda kariakoo au nishuke kwenye daladala nipamde bodabpda kutoka kituoni hadi nyumbani,NEVER.
Ila wewe bwana...mimi hata sipo huko, unanijua mimi sipo hivyo. Hata siku ile nakumbuka nilikuambia never say never ukakaza ukasema huwezi hata iweje 😁 hilo la life and death situation ndio nalisikia leo
 
Back
Top Bottom