Hiyo bajaj haina risk?Bora bajaji, hizi boda boda ni risk sana kwa safari ndefu
Kama tupo na beibe na hatuna gari, tutarequest tu bajaji
Nini tena jamani😄.Yani wewe 😝
Kivipi, zote SI zinapita road?Haizidi Boda boda
Ningeumbuka😁Ilikuokoa ungekoma 😝
Kuna high, na low riskHiyo bajaj haina risk?
Kila kitu maishani kina risk zake, hata wewe na baby wako kila mmoja ni risk kwa mwingine.
Kabisa mkuu Kila mtu na uwezo wake kikubwa kuishi ndani ya uwezo wakoOut ni out tu, iwe kwa boda boda, baiskeli au kwa mguu, ili mradi mtoa out mtolewa oot wainjoy
Nimekuelewa kwenye upepo na vumbi.Kuna high, na low risk
Atleast bajaji mwendo wake sio wa mateka kama boda boda. Halafu upepo na kuchafuka vumbi
Nikiwa na dawa zangu za Presha jirani, mambo nitaweza tu 😅Utaweza mambo 😛
We nae mbishiiiNimekuelewa kwenye upepo na vumbi.
Kuhusu mwendo unatakiwa kumpa maelekezo maana wewe ni mteja wake, usimpe uhuru ya kukimbia apendavyo.
Sasa unataka nikubaliane na kila wazo lako? Think differentlyWe nae mbishiii
We na beibe wako pandeni boda🙌
Ndio ilimradi tu kuna hisia za upendo ndani yake hata mkikaa kwenye msitu ni bonge la out, hizi out za kulazimisha kwenda Serena hotel mara nyingi huwa ni show off zile hisia za upendo zinakuwa hamnaKabisa mkuu Kila mtu na uwezo wake kikubwa kuishi ndani ya uwezo wako
Hata hapa daslam out wengine wanaenda kwa miguu si bora hata hiyo bodaTatizo wadada mnendekeza sana njaa.
Hivi mkiwa kule vijijini kwenu hizo outing huwa mnapanda usafiri gani?
Au wanawake wa JF wote mko daslam?